Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Kasie na yale maneno yake yote matamu, inamaana ni mbibi? Aisee [emoji1784]
Kaza sauti ukitamka jina la Kasie halafu malizia na Kigagula.
The older the wine...
K Matata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasie na yale maneno yake yote matamu, inamaana ni mbibi? Aisee [emoji1784]
Mi chijambo mamy love..Mjukuu hujambo?
Kwani hiyo avatar ni ya mschana?
Kama hawaoni kunyanzi kwenye avatar wavalishe helmet bin barakoa.
Kasie Platinumsz.
Vijana hawaelewi kwa nn wine nzuri ni iliyovundikwa muda mrefuKaza sauti ukitamka jina la Kasie halafu malizia na Kigagula.
The older the wine...
K Matata.
Mi chijambo mamy love..
Bibi[emoji39][emoji39]Good grandson.
Bibi[emoji39][emoji39]
Uzuri wa binadamu anabadilika kadri anavyozidi kuishi Sawa na maji ya mto. Yanapoanzia, katikati ya safari hadi yanapoishia hayalingani, vivyo hivyo binadamu.
Siwezi kuwa nabadili picha yangu kila siku kadri nnavyobadilika, hiyo avatar yangu ni Kasie wa miaka kadhaa huko kitambo.
Kama hukubaliani na hilo wee sinzia tuu acha wenzio wakodoe macho.
The Chorus, volume pls...
Matata the K.
Nimejikuta nawafikiri dada zangu wote wa Chome, Kuwa ni yupi anaweza akawa ni wewe.
SiaminiKaza sauti ukitamka jina la Kasie halafu malizia na Kigagula.
The older the wine...
K Matata.
Kasie matata. Always jovial...Spreading love and happiness. What a woman [emoji7][emoji7][emoji7][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Uzuri wa binadamu anabadilika kadri anavyozidi kuishi Sawa na maji ya mto. Yanapoanzia, katikati ya safari hadi yanapoishia hayalingani, vivyo hivyo binadamu.
Siwezi kuwa nabadili picha yangu kila siku kadri nnavyobadilika, hiyo avatar yangu ni Kasie wa miaka kadhaa huko kitambo.
Kama hukubaliani na hilo wee sinzia tuu acha wenzio wakodoe macho.
The Chorus, volume pls...
Matata the K.
Kasie matata. Always jovial...Spreading love and happiness. What a woman [emoji7][emoji7][emoji7][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Uwongo. Kasie Matata hawezi kuwa hata na alama ya kunyanzi huyu. According to my psychological analysis niliyomfanyia kwa kusoma comments zake kwa muda mrefu ninaamini kwa asilimia 99.9% ni binti mbichi tu ambaye ndo kwanza kunakucha sema tu labda ni high class au mtoto wa kishua. Kasie Matata is below 28; and this is a fact !!!Mjukuu hujambo?
Kwani hiyo avatar ni ya mschana?
Kama hawaoni kunyanzi kwenye avatar wavalishe helmet bin barakoa.
Kasie Platinumsz.
Nalimhola nkoyi...Aahahahahaa Ya Buyenze
Ulimholaa...
Mithing yuu.
Hata mimi mkuuSiamini
Uwongo. Kasie Matata hawezi kuwa hata na alama ya kunyanzi huyu. According to my psychological analysis niliyomfanyia kwa kusoma comments zake kwa muda mrefu ninaamini kwa asilimia 99.9% ni binti mbichi tu ambaye ndo kwanza kunakucha sema tu labda ni high class au mtoto wa kishua. Kasie Matata is below 28; and this is a fact !!!
Nalimhola nkoyi...
Mi tuu....mweneza furaha wewe [emoji1547]
Tena simu yenyewe tecno.Ni kweli kabisa hata sisi yanatukuta unajikuta unachat na mwanaume dah hela hana sana sana akijitahidi ana simu na laptop. Ukimkataa unasemwa eti unabagua sana, yaan tuendelee kuvumiliana.