Unakuwa na mahusiano na mwanamke mpaka unawaza kuoa unakuja kujua baadae kuwa ulikuwa unaingia chaka, weka kisa

Sea Beast

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2022
Posts
2,212
Reaction score
4,808
Habari wazee, nimesoma baadhi ya visa vya mahusiano, kama una kisa chako uliwahi kuwa na mahusiano na mwanamke mpaka kufikiria kwenda kutoa barua hili mfunge ndoa lakini ukaja kugundua kumbe ulikuwa unapotea kumbe sio wife material Kama ulivyodhani.

Ulimpenda na kuanza kufikiria ndoa akaja kukuonesha rangi yake halisi, weka hapa kisa tujifunze wazee.

 
Type hii ya mwanamke utaijua mapema.

Weka misimamo yako mapema, no out bila kuaga, akivunja sheria unaleta noma.

Ata adjust tabia zake, or akionyesha kiburo red card
 
Ngoja nipumzike mkuu maana nitachapisha gazeti
 
Yalinikuta ila Basi nashukuru nilimuwahi na Sasa nainjoy tu na maisha yangu...
 
Hicho kiss mbona no Kama. Changu mkuu...Kuna Dem mnyantuzu nilikutana nae enzi hizo daah anajifanya mtulivu lakin kumbe kichwa maji na ktk story alijibu majibu Kama hayo [emoji3516][emoji3516][emoji1787] mpaka nikasema is she the one...or there's some else I must wait for her..[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…