Unalalaje lodge ya 80,000 na bado hujajipata

Unalalaje lodge ya 80,000 na bado hujajipata

Mtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000 aisee hatupangiani maisha lakini je Kwa maisha gani hayo unakuta nyumbani kaacha hela ndogo tu lazima uangalie na ulipotoka..angalau ingekuwa umepata hela kubwa za miradi ila sio allowance za hizi activities za kila siku.. At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa.. Ila nacho fikiria hawa wadada wanakuwa na mitego yao mingine kunasa ma sponsor sio bure..
Keep youself expensive na utakuwa expensive popote.

Hata kama ni train panda first class, acha kula supu za bukubuku mitaani, agiza hata mihogo uletewe ofisini unywe na chai.

Tengeneza expensive image, hakuna atakayekuchukulia cheap.
 
Kwa akili yako unadhani analipa yeye hiyo 80k?? Alafu acha kufatilia mambo ya wanawake
Elfu 80 anaona pesa nyingi huyo maskini mleta mada mfano mtoto wa Bahkresa kaajiriwa Serikali posho ya safari elfu 80 hawezi kubali mwanawe alale ki guest house Cha elfu 40 atamlipia classic hotel

Kuwa ok una ajira lakini kimapato Bado mtoto kaa hapa nyumbani kula kwangu kuamka bili kwangu na Hela za safari kwangu mzazi wako Hadi utakapokuwa Vizuri

Gharama zote za mzazi kuanzia kwenda kazini na kurudi chukua hiyo gari

Hivyo vihela vya ajira kanunue peremende
 
Kwa kilugha chetu Huwa tunasema

'koleka chikozile kokung'unha di bende.'

Wewe sio Bure huyo dada Kuna jambo au ulitaka aje mlale lodge Moja pengne usiku ungeomba ........ Kula tunda kimasihara😄😄
 
Mtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000 aisee hatupangiani maisha lakini je Kwa maisha gani hayo unakuta nyumbani kaacha hela ndogo tu lazima uangalie na ulipotoka..angalau ingekuwa umepata hela kubwa za miradi ila sio allowance za hizi activities za kila siku.. At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa.. Ila nacho fikiria hawa wadada wanakuwa na mitego yao mingine kunasa ma sponsor sio bure..
Una Pepo la umaskini maisha ndio haya haya lipa elfu 80 hotel ya kueleweka waweza kutana na wawekezaji au waajiri au contacts za maana kuliko hicho ki lodge cha elfu 40 unakutana na kunguni
 
Mkuu Mimi maisha magumu sana lakini silali lodge ya bei nafuu Mzee.
zinakuwaga za hovyo sana privacy zero hata operation za kijinga zinafanyika huko.
MTU na heshima zako asubuhi unatrend kwenye social network ety unaojiwa na mkuu wa wilaya kwenye defender umeshikwa Kwa kosa la kuenda kununua dada poa.
nyumbani familia utaiambiaje ikuelewe mzee?!.
 
Wewe inakuhusu nini maisha ya mtu....
Hata akiamua kulala ya 130K per day unaumia nn...kwani waliompa hawajui bei za lodge...maisha yako ya kimaskini usituambukize wengine,na usifkirie kuwa bahili ndio kuwa tajiri🤣🤣🤣
Sahihi huko hata akitongozwa kwenye elfu 80 atapata MTU WA maana kuliko huko kwenye vilofa katoka navyo ofisini vilala guest za elfu 40 vibahiili vibana hela Ku save

130,000 nayo ni hela hata ukisema Una save yote unalala kwenye mtaro utajenga ghorofa?

Mleta mada ana pepo la umaskni hongera Kwa huyo dada Kulala chumba cha elfu 80

Mungu amjalie kama hajaolewa apate wa kumuoa WA kiwango hicho cha elfu 80 sio WA kiwango cha elfu 40
 
Wewe inakuhusu nini maisha ya mtu....
Hata akiamua kulala ya 130K per day unaumia nn...kwani waliompa hawajui bei za lodge...maisha yako ya kimaskini usituambukize wengine,na usifkirie kuwa bahili ndio kuwa tajiri🤣🤣🤣
Kweli, Kila mtu aishi maisha aliyoyachagua mradi hakeri wengine wala kuivunja sheria
 
Perdiem toka mwka jana junior ni 170 na senior ni 250. Tulikuja zanzibar mm peke yangu nililala kwenye Lodge elf 20 migombani na haikusaidia mana niliomba kuketewa nyash nikalipa 40k per night


Cc. Nyamwi255 , Lamomy mshamba_mwingine
Mkuu, Mimi naomba kufahamu kitu,, hivi hizi Perdiem huwa zinafanana kwa taasisi/Mashirika/Halmashauri zote za serikali..?
Pia, zinatofautiana kulingana na ngazi ya elimu au cheo..?
 
Mkuu Mimi maisha magumu sana lakini silali lodge ya bei nafuu Mzee.
zinakuwaga za hovyo sana privacy zero hata operation za kijinga zinafanyika huko.
MTU na heshima zako asubuhi unatrend kwenye social network ety unaojiwa na mkuu wa wilaya kwenye defender umeshikwa Kwa kosa la kuenda kununua dada poa.
nyumbani familia utaiambiaje ikuelewe mzee?!.
Binadamu lazima uset standard zako, nilikuwa nikienda Mwanza La Cairo hotel nachukuwa Presidetial suite ina sitting room kabisa, mtu akija kukutembelea hotelini anaishia sitting room kuna excutive sofa na flat screen 4k, hata kama una kimeo chumbani hawezi kujuwa chochote.
 
Mtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000 aisee hatupangiani maisha lakini je Kwa maisha gani hayo unakuta nyumbani kaacha hela ndogo tu lazima uangalie na ulipotoka..angalau ingekuwa umepata hela kubwa za miradi ila sio allowance za hizi activities za kila siku.. At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa.. Ila nacho fikiria hawa wadada wanakuwa na mitego yao mingine kunasa ma sponsor sio bure..
Naona umeamua kupangia watu maisha
 
Back
Top Bottom