Tuliwahi kusafiri kikazi mkoa fulani tukapewa per Diem 230,000/= kwa wiki mbili......nikaenda kulala guest ya 10,000/= mpaka namaliza mambo yangu.......umbali wa eneo la kazi na hiyo guest gharama yake ni 3,000/= kwenda na kurudi......
Mama ntilie wapo kama hatua ishirini kutoka hapo na sahani ya wali inaanzia 1,500/= mpaka 3,000/= kwa VIP........
Kwa siku nilikuwa natumia 20,000/= Tu.........
Waliofikia hotelini project ilivyoisha walikuja kuniazima nauri za kurudia.......
MAISHA HAYA.....NI SAFARI NDEFU SANA