Hahaha.........hao sio wenzetu ujue π€Kitambo kidogo tulipelekwa training DAR, ofisi wakatufanyia booking Sleep Inn hotel iko mitaa ya Kariakoo (Swahii/Mahiwa) kama sijasahau. Kuna binti tulikuwa naye yeye akafikia White Sand hotel, yaani akaacha booking ya bure, sponsor kamlipia huko. Asubuhi tunakutania mitaa ya posta, yeye analetwa na gari nene kwelikweli, sema demu mwenyewe alikuwa simple sana hana makeke kabisa. Siku ya mwisho anatutoa wote out kula kunywa juu yake.
Apostle Kuna muujiza huku πHapana, mimi nipo kati ya hao 8π
Nini sasa nawe mamiloo?Aiseee!
Kampuni zozote za maana wanakuambia utafikia hotel flan. Brand kwao ni muhimu.Ndio maana unalipwa perdiem kwa ajili ya kula na kulala si kwa matumizi mengine. Siwezi lala lodge uchwara eti ni save hela. Maisha na hayahaya, enjoy while you can.
Mwajiri wetu alijua tabia za wafanyakazi kutaka kusave bila kujali usalama na afya zao wakiwa kazini. Hotel unalipiwa five star na daily allowance unapewa. Tena hotel unalipia kwa Mastercard ya ofisi.
Na usalama wa wafanyakazi kwao ni muhimu zaidi.Kampuni zozote za maana wanakuambia utafikia hotel flan. Brand kwao ni muhimu.
Nimejifunza kitu..Nikitumia pesa vibaya kuna mmoja kati yetu ntakopa kwake.πTuliwahi kusafiri kikazi mkoa fulani tukapewa per Diem 230,000/= kwa wiki mbili......nikaenda kulala guest ya 10,000/= mpaka namaliza mambo yangu.......umbali wa eneo la kazi na hiyo guest gharama yake ni 3,000/= kwenda na kurudi......
Mama ntilie wapo kama hatua ishirini kutoka hapo na sahani ya wali inaanzia 1,500/= mpaka 3,000/= kwa VIP........
Kwa siku nilikuwa natumia 20,000/= Tu.........
Waliofikia hotelini project ilivyoisha walikuja kuniazima nauri za kurudia.......
MAISHA HAYA.....NI SAFARI NDEFU SANA
[emoji15]shida nini mkuu unambonji ofisiniKikubwa si usingizi tafta lodge ya 20
Mimi nalala ofisini
Punguza hasira mkuu, kama ulifukuzia mdada ukakuta anapolala ni ghali kuliko unavyoweza we kuwa mpole.Mtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000.
Aisee hatupangiani maisha lakini je Kwa maisha gani hayo unakuta nyumbani kaacha hela ndogo tu lazima uangalie na ulipotoka.. angalau ingekuwa umepata hela kubwa za miradi ila sio allowance za hizi activities za kila siku..
At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa.. Ila nacho fikiria hawa wadada wanakuwa na mitego yao mingine kunasa ma sponsor sio bure..
Ukweli mtupu....mbususu ni mtaji mmoja mzuri sana kwa wadada tena ongeza na tako ndio kabisaaaMarehemu babu yangu aliwahi kuniambia "mjukuu wangu KAMWE usishindane na mwanamke", nilimuuliza alimaanisha nini, akanijibu......mwanamke anaweza kuwa hana hata mia sasa hivi lakini baada ya masaa kadhaa akamilikishwa mali chungu nzima kwakuwa anacho kiwezeshi.
wanaume tunakwishaMtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000.
Aisee hatupangiani maisha lakini je Kwa maisha gani hayo unakuta nyumbani kaacha hela ndogo tu lazima uangalie na ulipotoka.. angalau ingekuwa umepata hela kubwa za miradi ila sio allowance za hizi activities za kila siku..
At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa.. Ila nacho fikiria hawa wadada wanakuwa na mitego yao mingine kunasa ma sponsor sio bure..
Bajeti mkuu[emoji15]shida nini mkuu unambonji ofisini
ππUkweli mtupu....mbususu ni mtaji mmoja mzuri sana kwa wadada tena ongeza na tako ndio kabisaaa