Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe mtoto kwenye ile Id yangu nyingine nilikuwa naku feel kinoma noma.Nyie endeleeni kuniumba ila kujipost msahau kabisa
Kwenye hii ID haunifeel sio,, maisha haya😂😂Ila wewe mtoto kwenye ile Id yangu nyingine nilikuwa naku feel kinoma noma.
24/7 ina maana gani jamani?Acha chai zao, masaa24 halali au? Na wewe umejuaje kama 24/7 yuko online?[emoji851][emoji851]
Nikibadili Id na personality inabadilika mkuu.Kwenye hii ID haunifeel sio,, maisha haya[emoji23][emoji23]
Sio umbea tunapeana miongozo au na we ndo walewaleMbona una makasiriko kwenye maisha ya watu wewe ishi urakavyo acha umbea kwenye maisha ya watu
Duh kweli huu mtandao wa wasiojulikana 😂😂Nikibadili Id na personality inabadilika mkuu.
Una psychological issues...contact ikibaki inapunguza nini? Manake hizi za siku hizi simu hazojai contacts useme inamaliza space. Yaani unakaa na kuhesabu flani hajanipigia so namdelete! Seriously?Siku hizi maisha yamerahisishwa, una mute, block au kufuta kabisa namba😂😂ila tu nina roho mbaya kinoma,
Nje ya mada mi hata tukigonga zaidi ya mwaka bila kuwasiliana nakufuta kwenye phonebook yangu
biashara matangazo pia usisahauWengine wanastress zao huko!
Wewe unamchukuliaje mtu ambae anakaa kwenye simu kuangalia status za watu?!.. tena unakuta ni kidume kabisa [emoji23] [emoji23] [emoji23]Binafsi huwa siamini mtu anajipost kwa siku picha kumi yeye tu kiukweli sijajua kama ndio matumizi ya status tena kwa kidume ni kukoswa kazi
Una psychological issues...contact ikibaki inapunguza nini? Manake hizi za siku hizi simu hazojai contacts useme inamaliza space. Yaani unakaa na kuhesabu flani hajanipigia so namdelete! Seriously?
Simu ni yangu kama siwasiliani na namba husika nafuta usinipangie psychologistUna psychological issues...contact ikibaki inapunguza nini? Manake hizi za siku hizi simu hazojai contacts useme inamaliza space. Yaani unakaa na kuhesabu flani hajanipigia so namdelete! Seriously?
Kwa kiherehere hiki utaolewa siku si nyingiAna matatizo ya akili si bure haswa msongo wa mawazo [emoji1787][emoji1787]
Sheria gani za whatsapp amezikosea?Binafsi huwa siamini mtu anajipost kwa siku picha kumi yeye tu kiukweli sijajua kama ndio matumizi ya status tena kwa kidume ni kukoswa kazi
Futa but haiondoi ukweli nlokwambia, it goes to show you have anticipation issues when not met you turn supper mad into an uncontrolled rage and delete contact spree, jiamini, wao huko wana namba yako wala hawajadelete na ipo siku wakiwa na uhitaji nawe watakupigia iwe kwa faida yao ama yakoSimu ni yangu kama siwasiliani na namba husika nafuta usinipangie psychologist
Chief ni kweli, watu tuna mental issues, imajini mtu anaiadhibu contact kwa kuidelete and she gets satisfaction out of thatAna matatizo ya akili si bure haswa msongo wa mawazo [emoji1787][emoji1787]
Inamaanisha masaa 24, siku saba za wiki. Au kwa maana nyingine muda wote.24/7 ina maana gani jamani?