Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Akikaa kwa mjomba wake. Wewe inakuuma nini? Unashindwa kufanya kazi zako?
Ukifuatilia maisha ya watu, mwisho wa siku lazima uwe mchawi tu. Kuwa busy na maisha yako kwasbb hiyo wala haikuathiri.
Ushajiuliza, mbona ww haukai kwa mjomba wako lkn mpk hapo haujafikisha hata bilioni 1 bank?
Kama wana pesa kwanini wana shindwa kujitegemea, wanakaa kwa mjomba, shangazi mala shemeji pesa yao kazi yake ni kununua iPhone
 
Back
Top Bottom