Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Daaah, umenikumbusha kuna mzungu mmoja aliwahi tembelea Afrika nafikiri West africa. Basi alivyorudi huku siku moja tukawa tunapiga nae stories vitu alivyoviona huko West Africa. Alinambia waafrica sio maskini kama tunavyojitangaza ila ni akili zetu kidogo zina mushkeli, aliongea kama wewe ulivyosema hapo, huko alikutana na watu wanamiliki simu mbili mbili zote za bei mbaya lakini ukienda makwao maisha wanayoishi ni duni sana kitu ambacho wao wazungu hawafanyi. Na hizo simu mbili unakuta watu wanamiliki kwa show off hamna lolote la maana wanafanya nazo.
Na weee ni mpuuzi kama wapuuzi wengine wanaoamini kuwa mavi ya wazugu nibora kuliko ya ngozi nyeusi.

Umasikini ukipanda kichwani ni hatari
 
Sasa kakaaa kiwanja su kitaleta ugomvi niki pasi awei

Alafu usikute umeweka glass protector so bure ww
 
Katika maisha kila mtu anavipaumbele vyake.
Kuna watu wamepanga nyumba lakini wana magari mengi tu wamepaki uwani yaani ni Matajri wa kutosha tu.
Kujenga nyumba sio utajiri ni maamuzi tu.
Nyumba inajengwa na mtu yotote akiamua kwani hata ya chumba kimoja ni Nyumba.
Usilazimishe kila mtu awe na mtazamo wako.
Wengi wanaojenga haraka wana hofu ya maisha.
Wanaogopa huenda mbeleni maisha yakawaendea vibaya na kushindwa kumiliki nyumba.
Wenye nazo wala hawana huo wasiwasi.

We endelea kupambana.
 
Kiwanja alichonunua mtu miaka ya 80s pale ubungo au magomeni asaiv anaweza kuuza shilingi ngapi??
Na mtu alienunua iPhone mwaka Jana na akitaka kuuza mwaka huu au mwaka ujao anaweza uza hio Simu bei hiohio??
Just think, kiwanja ni asset nzuri sana kuliko Simu, but kila mtu ana malengo ake na matamanio yake
Wewe kiwanja chako kiko hapo ubungo? Au kujishaua tu?
 
kimsboy

Huu ni ukweli unaouma,umesema ukweli unaoumiza watu sana,hasa wanaojiona wapo mjini dar. 🤣🤣
 
Kila mtu na kipaumbele chake mkuu, vipaumbele vyako sio vyao
 
Kila mtu ana kipaumbele chake. Mwingine kununua iPhone ya bei ni ndoto yake.
 
Nawewe wacha ushamba basi. Inaelekea huna elimu ama elimu unayo ila umekosa expossure.

Fahamu kuwa kila mtu anaishi duniani kwa lengo la kutimiza ndoto yake wala si yamwigine.

Sasa we mimacho inakutoka kwa sababu gani wakati mtu anapambana atafute pesa kwa njia anazozijua ili kutimiza ndoto yake?

Tatizo we unataka watu watimize ndoto zako za viwanja na mashamba badala ya kutimiza ndoto zao.

Watu kama nyie mara nyingi huwa na roho za kichawi kufuatilia maisha ya watu wengine kwa kujilinganisha.

Ukijitambua wewe ni nani huwezi kuwa na muda wa kufuatilia watu wengine bali utafocus kweye vipaumbele vyako na si vya wengine.

Kila mtu ana kipaumbele chake.

Umeongea sahihi sana mkuu
 
Kila mtu ana vipaumbele vyake. Ww huoni serikali yako imeenda kununua ndege kwa cash ila ukienda baadhi ya mikoa vijijini huko kuna wanafunzi wanakaa chini hawana madawati?
Ukifuatilia maisha ya watu utachelewa kufanya yako.
Mtu humlishi, hakuombi hela na wala hakai kwako kwann unaumiza vichwa?
Kuna watu wanaishi nyumba za kupanga lkn wanamiliki gari kali
Naunga mkono hoja.
Hawa vijana watolewe mapepo
 
Mbona serikali yako inanunua ndege kwa cash lkn kuna baadhi ya shule hazina maabara, na wanakaa chini?
Kuna vijiji havina maji tangu 1961 mpk leo lkn serikali haijaweka miundombinu ya maji lkn inazidi kununua ndege kwa cash
Ndoto zingine za ovyo
 
Mbona serikali yako inanunua ndege kwa cash lkn kuna baadhi ya shule hazina maabara, na wanakaa chini?
Kuna vijiji havina maji tangu 1961 mpk leo lkn serikali haijaweka miundombinu ya maji lkn inazidi kununua ndege kwa cash
Hujui ndege ni biashara?

Hiyo iphone unafanyia biashara gani?

Hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom