kijana
...Ana milki simu ya bei ya kiwanja kule mkoani
...anamiliki laini zaid4 na zote zna madeni
..Anamiliki nguo za gharama ukiunganisha zote kabatini unapata zaid ya milion1
....anawachanganya madem kama dj wa kisingeli, yan anawacontrol watu 10 bila wao kujijua
....ana marafiki wasap,fb, insta na bado uko normal text na mitaani&mikoani
....Kamaliza chuo
.....alpata mkopo by100%
....hataki kuondoka dar/mjini
.....hatak kazi ngumu
kijana kama huyu unamuwzesha vip? hafai hata kuaminiwa kupewa mkopo wa ujasiliamar maana tayar alivyo navyo ni mtaji tosha hawa ndyo wanaorudsha nyuma maendeleo ya hii nchi, na ndio hawa hawa wamejazana uko insta wakiuza vinguo online na kuuza sura zao wakishindana kujipost picha za location, hawa simu zao hazikos bando japokuwa hawana sources za kupata izo pesa za mabando
watu kama hawa wapo kila sehemu, na humu wapo pia hata comments zao utazitambua jinsi walivyo comment negative na hii thread, hawa hata nyuzi zao pendwa ni zile za hovyo hovyo zle senseless , hawa hawafai kuwepo JF maana wanaidharirisha maana ya great thinkers.