Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Unakuta kijana anamiliki Iphone ya macho 3 wakati hata kiwanja hana mjini hii ni aibu nyingine na janga la hatari sana.

Unakuta wengine ni mtu nzima kabisa anamiliki Iphone ya macho 3 halafu analala kwa shemeji yake na kula mikate na watoto asubuhi wakati wanapata kifungua kinywa ili wapandishwe kwenye school bus.

Mimi nawaangalia watu wa aina hiyo najiuliza wana akili kweli? Unamiliki vipi iphone ya macho matatu au simu ya milioni moja na nusu wakati hata kiwanja huna?

Halafu umekaa ukila bure bure tu vya wazazi unategemea wazazi tu hapa hujui kusaka kwa jasho lako.

Ni aibu na fedheha kumiliki simu ya mamilioni wakati hata kiwanja cha laki 5 kule kisemvule huna unatakiwa ukaombewe au ukapimwe akili maana ni aibu.

Unanunua iphone ya macho 3 wakati hata godoro huna hata kitanda hujawahi nunua unalalia vya watu na vya shemeji zako utakua ni mgonjwa sio bure
mkuu usiseme kwa sauti sana, hawa ndio wapangaji wetu.

uzi umefungwa!
 
Aya wale wanaotaka viwanja vya bei nafuu vipo. Tuna viwanja Vikindu 1.3M, Kibaha 2.4M, Goba, Kigamboni, Bunju na Mbweni. Nipigie 0762815104.

Viwanja vimepimwa na vina hati.
 
Mkuu una Fikra Fupi sana.. Kila mtu anainjoi maisha kwa namna apendavyo.. na hatufanani katika mizani za mafanikio.

Wewe mafanikio yako unayapima kwa kujenga etc. Wengine hupima yao kwa kumililiki macho matatu.

Ndio maana huwa napenda kusema "Mafanikio Makubwa katika Maisha ya Mwanadamu ni kuishi maisha yake kwa namna apendavyo"

NB: sina macho matatu wala kiwanja.
 
Unakuta kijana anamiliki Iphone ya macho 3 wakati hata kiwanja hana mjini hii ni aibu nyingine na janga la hatari sana.

Unakuta wengine ni mtu nzima kabisa anamiliki Iphone ya macho 3 halafu analala kwa shemeji yake na kula mikate na watoto asubuhi wakati wanapata kifungua kinywa ili wapandishwe kwenye school bus.

Mimi nawaangalia watu wa aina hiyo najiuliza wana akili kweli? Unamiliki vipi iphone ya macho matatu au simu ya milioni moja na nusu wakati hata kiwanja huna?

Halafu umekaa ukila bure bure tu vya wazazi unategemea wazazi tu hapa hujui kusaka kwa jasho lako.

Ni aibu na fedheha kumiliki simu ya mamilioni wakati hata kiwanja cha laki 5 kule kisemvule huna unatakiwa ukaombewe au ukapimwe akili maana ni aibu.

Unanunua iphone ya macho 3 wakati hata godoro huna hata kitanda hujawahi nunua unalalia vya watu na vya shemeji zako utakua ni mgonjwa sio bure
Correctomundo
 
Sisi wa tecno naona tujiachie tu hata zikiwa na macho sita....tunapitia mengi magumu, hatuna haja ya kununua viwanja

Hahah kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema kimeumqnq ,,,,acha kuwapanga watu waishi utakqvyo wwwe sio mungu
 
Yaani kuna watu akiwa na kiwanja basi anaona keshapatia maisha. Kila mtu ana kipaumbele chake ndugu tusipangiane. Kiwanja chenyewe umenunua huko kibaha ndanindani huwezi hata weka duka then unajisifu kuwa na kiwanja.
Sasa kaka tusiponunua maeneo yanaenda kuwa mbali zaidi
Umetuchomaaa kweli pesa zenyewe za kubahatisha
 
Huyo mzungu alikupanga mkuu, wao hawatumii tecno wala itel. Wanatumia IPHONE tu.
Anipange vipi niko nao nawaona?? unaweza kuta mtu ana pesa zake za kumwaga lakini wala hashobokei hio mi iphone ambayo privacy ya mtu ni zero!! Hivi unajua kwa nini blackberry ilikufa?? Iphone security na privacy ni zero. ukishajiingiza huko ujue ndio umejiingiza kua mtupu katika privacy.. anyway kila mtu ana vipya umbele vyake. Ila Samsung na simu nyinginezo ni salama zaidi kuliko iphone. subiri sasa hii iphone 13 iwe connected na covid vaccine 😂 😂 😂 😂
 
Hata hivyo kiwanja bado ni asset inayopanda thamani kila siku tofaut na kununua hiyo macho matatu ambayo huwez kuja kuuza kwa bei uliyo nunulia
Bado kiwanja ni Bora kuliko macho 3 hata kama haukiendelezi
Corectomundo bro
 
Unakuta kijana anamiliki Iphone ya macho 3 wakati hata kiwanja hana mjini hii ni aibu nyingine na janga la hatari sana.

Unakuta wengine ni mtu nzima kabisa anamiliki Iphone ya macho 3 halafu analala kwa shemeji yake na kula mikate na watoto asubuhi wakati wanapata kifungua kinywa ili wapandishwe kwenye school bus.

Mimi nawaangalia watu wa aina hiyo najiuliza wana akili kweli? Unamiliki vipi iphone ya macho matatu au simu ya milioni moja na nusu wakati hata kiwanja huna?

Halafu umekaa ukila bure bure tu vya wazazi unategemea wazazi tu hapa hujui kusaka kwa jasho lako.

Ni aibu na fedheha kumiliki simu ya mamilioni wakati hata kiwanja cha laki 5 kule kisemvule huna unatakiwa ukaombewe au ukapimwe akili maana ni aibu.

Unanunua iphone ya macho 3 wakati hata godoro huna hata kitanda hujawahi nunua unalalia vya watu na vya shemeji zako utakua ni mgonjwa sio bure
Kiwanja alichonunua mtu miaka ya 80s pale ubungo au magomeni asaiv anaweza kuuza shilingi ngapi??
Na mtu alienunua iPhone mwaka Jana na akitaka kuuza mwaka huu au mwaka ujao anaweza uza hio Simu bei hiohio??
Just think, kiwanja ni asset nzuri sana kuliko Simu, but kila mtu ana malengo ake na matamanio yake
 
Back
Top Bottom