Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa matumizi yetu madogo madogo tu aya si haba.Mkuu, simu ifanane na DSLR!
Unakuta kijana anamiliki Iphone ya macho 3 wakati hata kiwanja hana mjini hii ni aibu nyingine na janga la hatari sana.
Unakuta wengine ni mtu nzima kabisa anamiliki Iphone ya macho 3 halafu analala kwa shemeji yake na kula mikate na watoto asubuhi wakati wanapata kifungua kinywa ili wapandishwe kwenye school bus.
Mimi nawaangalia watu wa aina hiyo najiuliza wana akili kweli? Unamiliki vipi iphone ya macho matatu au simu ya milioni moja na nusu wakati hata kiwanja huna?
Halafu umekaa ukila bure bure tu vya wazazi unategemea wazazi tu hapa hujui kusaka kwa jasho lako.
Ni aibu na fedheha kumiliki simu ya mamilioni wakati hata kiwanja cha laki 5 kule kisemvule huna unatakiwa ukaombewe au ukapimwe akili maana ni aibu.
Umenikumbusha mkuu,ile siku ya Yanga day nilienda zangu hukohuko kisemvule basi nikawa nachek mechi kwenye ki grosaly flani hivi ,kuna jamaa alikuwa anatafuta mteja wa kiwanja alikuwa anakiuza kwa laki 5 yaani nilishtuka sanaKumbe Kisemvule kiwanja laki 5 siku zote hamtuambiii nyie watu
Naona jamaa etu kalala, mshitue aamke toka usingiziniMkuu, simu ifanane na DSLR!
Dah! demu akikuchomekea gia ya iphone 13 kwa usawa huu inabidi umwangalie kwa jicho la tatu....Leo wamezindua iphone 13 wawaonee huruma dada zetu,marinda yataisha n break za kuzuia kimba zinaisha...watafika mbinguni wamechoka sana
Wananunuliwa kwa dhamana ya kupungiziwa marinda yao....wale wasiokua na kazi wao ni kudanga tuDah! demu akikuchomekea gia ya iphone 13 kwa usawa huu inabidi umwangalie kwa jicho la tatu....
Unamuuliza baba yake anatumia simu ya shilingi. Ngapi? Alisoma shule ya ada shilingi ngapi? Bajeti ya chakula cha siku kwao ni shilingi ngapi? Akijibu hayo maswali uje uniambie.Dah! demu akikuchomekea gia ya iphone 13 kwa usawa huu inabidi umwangalie kwa jicho la tatu....
hiiLeo wamezindua iphone 13 wawaonee huruma dada zetu,marinda yataisha n break za kuzuia kimba zinaisha...watafika mbinguni wamechoka sana
DaaahDaaah, umenikumbusha kuna mzungu mmoja aliwahi tembelea Afrika nafikiri West africa. Basi alivyorudi huku siku moja tukawa tunapiga nae stories vitu alivyoviona huko West Africa. Alinambia waafrica sio maskini kama tunavyojitangaza ila ni akili zetu kidogo zina mushkeli, aliongea kama wewe ulivyosema hapo, huko alikutana na watu wanamiliki simu mbili mbili zote za bei mbaya lakini ukienda makwao maisha wanayoishi ni duni sana kitu ambacho wao wazungu hawafanyi. Na hizo simu mbili unakuta watu wanamiliki kwa show off hamna lolote la maana wanafanya nazo.
Mali ya kuchuma kwa jasho lako ndo nzuri urithi wa niniHivi mimi niwaze kununua kiwanja cha nini sasa mkuu wakati dingi yangu ashajenga mijumba kibao hapa town. Hayo si ni matumizi mabaya ya pesa?
Mkuu usipende kupangia watu. Wakati wewe kipaumbele chako ni kununua kiwanja Kisemvule kuna wenzako walishavuka hizo stage zamani sana.
Wakati mwingine anawaza anunue gari ya kifahari Elon Musk anawaza Mars Colonization.
Mkuu hebu google hili somo "hierarchy of needs". Huko utapata kujifunza kitu