Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Nawewe wacha ushamba basi. Inaelekea huna elimu ama elimu unayo ila umekosa expossure.

Fahamu kuwa kila mtu anaishi duniani kwa lengo la kutimiza ndoto yake wala si yamwigine.

Sasa we mimacho inakutoka kwa sababu gani wakati mtu anapambana atafute pesa kwa njia anazozijua ili kutimiza ndoto yake?

Tatizo we unataka watu watimize ndoto zako za viwanja na mashamba badala ya kutimiza ndoto zao.

Watu kama nyie mara nyingi huwa na roho za kichawi kufuatilia maisha ya watu wengine kwa kujilinganisha.

Ukijitambua wewe ni nani huwezi kuwa na muda wa kufuatilia watu wengine bali utafocus kweye vipaumbele vyako na si vya wengine.

Kila mtu ana kipaumbele chake.
Nyie ndiyo mnakuja kusumbua watu uzeeni eti wakufuge huna kwako!!
 
Kwahiyo ndege na maji, bora ndege? Unajua amenunua iPhone kwa matumizi gani?
Inabidi utafute mume uwe unampangie matumizi yake
Pole sana.
Mbona una hasira sana kwenye pesa za watu. Kuwa shouger ili upate pesa
Watu watafute pesa kwa jasho lao halafu uwapangie matumizi.
Hujui ndege ni biashara?

Hiyo iphone unafanyia biashara gani?

Hovyo kabisa
 
Kuna mzee amekuja kwako kuomba hifadhi?
Mbona unahangaika sana na maisha ya watu?
Tafuta kazi ya kufanya, uwe busy kuboresha maisha yako.
Ukiwa na roho ya kimasikini ndiyo matokeo yake haya. Unaona km watu wanafuja pesa.
Tafuta kazi ya kufanya, uwe busy ili ufanye maisha yako yawe mazuri.
Ni hilo tu
Nyie ndiyo mnakuja kusumbua watu uzeeni eti wakufuge huna kwako!!
 
IPhone 13 imetoka na watu wanaenda kununua na hawana kiwanja.
Nenda kawashitaki polisi ili wafungwe maisha jela.
Nyie ndiyo mnakuja kusumbua watu uzeeni eti wakufuge huna kwako!!
 
Unakuta kijana anamiliki Iphone ya macho 3 wakati hata kiwanja hana mjini hii ni aibu nyingine na janga la hatari sana.

Unakuta wengine ni mtu nzima kabisa anamiliki Iphone ya macho 3 halafu analala kwa shemeji yake na kula mikate na watoto asubuhi wakati wanapata kifungua kinywa ili wapandishwe kwenye school bus.

Mimi nawaangalia watu wa aina hiyo najiuliza wana akili kweli? Unamiliki vipi iphone ya macho matatu au simu ya milioni moja na nusu wakati hata kiwanja huna?

Halafu umekaa ukila bure bure tu vya wazazi unategemea wazazi tu hapa hujui kusaka kwa jasho lako.

Ni aibu na fedheha kumiliki simu ya mamilioni wakati hata kiwanja cha laki 5 kule kisemvule huna unatakiwa ukaombewe au ukapimwe akili maana ni aibu.

Unanunua iphone ya macho 3 wakati hata godoro huna hata kitanda hujawahi nunua unalalia vya watu na vya shemeji zako utakua ni mgonjwa sio bure
kufikiri kujenga wakati wewe bado ni kijana ni woga wa maisha... kwanza maisha si lazima ujenge unaweza kuishi kwenye apartments tena its more safe.
 
Umeongea mengi lakini ni PUMBA TUPU; mtoa mada hajawaongelea hao unaosema kwao wana viwanja. kawaongelea makapuku ambao hata hela ya kula ni shida na anaishi nyumba mbovu ya kupanga badala ya kununua kiwanja ananunua simu ya bei mbaya cha muhimu anachofanya na hio simu ni kuangalia umbea instagram,facebook na kutuma messages whatsapp; hana lingine lolote na hio simu ilio mcost pesa nyingi sasa huo si ujuha!!! Kingine ulaya watu hawajengi nyumba wewe, nyumba wanazikuta zishajengwa tena na serikali hata wenye pesa zao ni kununua tu. Hata hao matajiri wenye eneo kubwa la ardhi pia, hawaruhusiwi kujijengea tu kwa vile wana pesa lazima wakubaliwe kujenga na serikali hizo ndio taratibu zao. Simu nunua ya bei mbaya lakini iwe at least iwe inakuingizia pesa pia sio show off za samaki samaki huku pa kulala dhofli hal.
huu ndo ukweli
 
Daaah, umenikumbusha kuna mzungu mmoja aliwahi tembelea Afrika nafikiri West africa. Basi alivyorudi huku siku moja tukawa tunapiga nae stories vitu alivyoviona huko West Africa. Alinambia waafrica sio maskini kama tunavyojitangaza ila ni akili zetu kidogo zina mushkeli, aliongea kama wewe ulivyosema hapo, huko alikutana na watu wanamiliki simu mbili mbili zote za bei mbaya lakini ukienda makwao maisha wanayoishi ni duni sana kitu ambacho wao wazungu hawafanyi. Na hizo simu mbili unakuta watu wanamiliki kwa show off hamna lolote la maana wanafanya nazo.
Umenikumbusha mzungu mmoja (alikuwa technical advisor) alikuwa pia anashangaa ofisini kwake mhudumu wa ofisi ana smart phone ya laki mbili wakati ana kimshahara kidogo na kila siku anamuomba pesa yule mzungu. Mzungu yeye ana kasimu kadogo tuu wakati mshahara wake ni karibia milioni saba...
 
Mbona serikali yako inanunua ndege kwa cash lkn kuna baadhi ya shule hazina maabara, na wanakaa chini?
Kuna vijiji havina maji tangu 1961 mpk leo lkn serikali haijaweka miundombinu ya maji lkn inazidi kununua ndege kwa cash
Ndio maana kila mtu anawafuasi wake wanao fanana akili. Vile ukifanya hili kwa mtazamo wako ukizani ni zuri wapo watakao kukosoa na watakuja na sababu za msingi.
 
Kumbuka watanzania wanaonunua simu za mamilioni ni wachache sana.
Wengi wanamiliki simu kali kwa ujanja ujanja tu, unakuta mtu ana simu ya laki 9 lakini hajawahi kushika hala laki 5 cash ya kwake. Jiulize sasa simu alipataje [emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa toka nione hii mada ninefanya utafit usio rasmi mitaan na kwny madaladala wachache sana wana simu za gharama zaidi ya laki 3..

Wengi wanao miliki simu kali ni waajiriwa na wanachuo...
 
ni maamuzi tu mbona ?

mtu unaweza ukauza gari ukakodi tax ni vile mtu anaamua usitupangie maisha akili ni nywele na kila mtu ana zake
 
Kwahiyo ndege na maji, bora ndege? Unajua amenunua iPhone kwa matumizi gani?
Inabidi utafute mume uwe unampangie matumizi yake
Pole sana.
Mbona una hasira sana kwenye pesa za watu. Kuwa shouger ili upate pesa
Watu watafute pesa kwa jasho lao halafu uwapangie matumizi.
Kama wana pesa kwanini wana shindwa kujitegemea, wanakaa kwa mjomba, shangazi mala shemeji pesa yao kazi yake ni kununua iPhone
 
Back
Top Bottom