Umeongea mengi lakini ni PUMBA TUPU; mtoa mada hajawaongelea hao unaosema kwao wana viwanja. kawaongelea makapuku ambao hata hela ya kula ni shida na anaishi nyumba mbovu ya kupanga badala ya kununua kiwanja ananunua simu ya bei mbaya cha muhimu anachofanya na hio simu ni kuangalia umbea instagram,facebook na kutuma messages whatsapp; hana lingine lolote na hio simu ilio mcost pesa nyingi sasa huo si ujuha!!! Kingine ulaya watu hawajengi nyumba wewe, nyumba wanazikuta zishajengwa tena na serikali hata wenye pesa zao ni kununua tu. Hata hao matajiri wenye eneo kubwa la ardhi pia, hawaruhusiwi kujijengea tu kwa vile wana pesa lazima wakubaliwe kujenga na serikali hizo ndio taratibu zao. Simu nunua ya bei mbaya lakini iwe at least iwe inakuingizia pesa pia sio show off za samaki samaki huku pa kulala dhofli hal.