Akikaa kwa mjomba wake. Wewe inakuuma nini? Unashindwa kufanya kazi zako?
Ukifuatilia maisha ya watu, mwisho wa siku lazima uwe mchawi tu. Kuwa busy na maisha yako kwasbb hiyo wala haikuathiri.
Ushajiuliza, mbona ww haukai kwa mjomba wako lkn mpk hapo haujafikisha hata bilioni 1 bank?