King_mwanamalundi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2019
- 373
- 558
Kuna kipindi waingereza walimperekesha kidogo aiuze timu, yupo UK kwa pass ya uyahudini siku hiziMkuu, sasa inakuwaje mtu anayesemekana kuwa ni "Jasusi" wa Urusi kuweza kununua club kubwa (kumiliki asilimia kubwa ya hisa) nchini Uingereza ilhali inajulikana fika kuwa hizi ni nchi mbili mahasimu?