Hahaha kweli life is uncertaintyMariamu la kwanza na la pili B akahama shule, Hadija la tatu mpaka la Saba B, akafata Judith,Kisha Zuhra advance. Chuo Rose! Sasa hivi naishi na niliyempa mimba!
Dunia haiko fair!
Mimi nilianza na mariamu shule ya msingi,akaja sauda o level, sasa naishi na niliyempa mimba yaani..daahMariamu la kwanza na la pili B akahama shule, Hadija la tatu mpaka la Saba B, akafata Judith,Kisha Zuhra advance. Chuo Rose! Sasa hivi naishi na niliyempa mimba!
Dunia haiko fair!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimemkumbuka Elias
Nilikuwa namuona nakimbia kujificha
[emoji28] Itabidi siku moja nijaribu!Ndio.. unaweza kutana na mwanamke mwenye nguvu [emoji2960]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utoto ulikuwa una makengeza Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mara ya kwanza Nimepata mtu aliyetajwa humu naemfahamu, huyo nkundwe Ni mnyaki madam kasie, na amesharudi bongo ana mke wa kihaya na watoto wawili?????Richie W. aka Richie Richie ( huyu tulipendana wote hadi tunamaliza lasaba B ila wote tulikuwa tunanata hakuna aliyetaka kumsemesha mwenzake. Tukawa tukasalimiana tuu na kupeana tabasamu basi). Sekondari tulipangiwa shule jirani tukawa tunaonana njiani saa ya kutoka au asubuhi kuingia shule.... alipopangiwa Minaki tukapotezana mazima hadi leo. Nilifatilia post za A level shule yao nikajua kapangiwa Minaki.... crush ya primary ikaishia hapo.)
Nkundwe ....( huyu hakujua kama nilimzimikia ila sababu alikuwa handsome waschana wengi walikuwa wanamsonga.... sikumbuki vizuri kama alihama tukiwa lasaba B au baada ya hapo alihamia ughaibuni.
Baada ya hapo nikawa mkaksi hadi nilipoingia chuo ndo nikaanza mahanjam 😋.
Sentensi ya mwisho ni elimu iliyojitosheleza .Mimi crush wangu nilidate nae form 3 mpaka O level inaisha, wakati nilimpenda tangu form 1 naogopa kumwambia. Sikuwahi kuwa na crush mwingine zaidi yake mpaka leo. After graduation alinambia anataka tupate mtoto anahisi siku zake za kuishi ni chache, nikaogopa na kufanya nae matusi tena.
Tuliachana rasmi after form 6 aliponishutumu kuwa simpendi ninamcheat. Wapambe walikuwa wengi baina yetu maana couple ilikuwa maarufu, taarifa zake nilikuwa nazo ila zangu hana. Long distance ilituharibia tukaachana kwa vitisho. Sadly, kama alijua vile kwani sahivi hayuko sawa kwa afya ya akili na kupona 100% sidhani.
Nilimpenda na alinipenda. Kwanza nilimtongoza leo akakubali kesho, tangu hapo nikitongoza mtu akanizungusha kidogo naacha najua akikubali kwa kuchelewa analazimisha. Pili, alikuwa ananijua in and out hata nimfiche. Mapema kabisa nilijua mwanamke akikupenda sana anajua kusoma emotions zako kwa kukusikia, kukushika au kukutazama.
[emoji16][emoji16][emoji16]
Fanya hima ukamsalimie atafarijika sana, umsalimie kwa bashasha na hug kubwa ahisi kupona bibieKwa kweli my dear .Ila bado nahisi nitaenda kumwona siku moja .Uzuri alikuwa anajua one of his friend aliniambia akiwa mzima aliniulizia ila sasa sidhani kama angeendelea kuwa my crush .Ninachisikitika ni maisha yake ya sasa tu