Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Jeifu ni P3 sio?Crush....crushes[emoji23][emoji23]
Primary... Mange
Secondary.... ........
Chuo........
.
.
.
Jf..........!! Huyu wa jf dadeq!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeifu ni P3 sio?Crush....crushes[emoji23][emoji23]
Primary... Mange
Secondary.... ........
Chuo........
.
.
.
Jf..........!! Huyu wa jf dadeq!
Kashoelewa Zambia, nisingeweza kumpenda tena hata iweje. Nikisema Nakupenda basi hua imetoka ndani kabisa ya roho yangu na nikishakutoa basi siwezi kukurudisha tena. I don't love someone for the sake of Sex. Alivyonitafuta lengo lake lilikua hilo, Siwezi make love na mtu nisiyempenda hata iweje. Labda unibake..
Shule ya msingi kigoma
Thubutu, hata kumtambulisha ntakuwa naona nomawe mpende uone kama hutompenda!
Inawezekana ni kweli mkuu maana haiwezekani nilimpenda yule mtu katika hali ya kawaidaUtotoni ulikuwa una makengeza Mkuu 😂😂😂😂
Utakuwa alikuwa kichwa darasani au alikuwa anatia karikiti kwenye nywele😅😅😅Same 😂😂
Crush wangu wa secondary nikimuona najishangaa sana
P3 ni nani mkuu?Jeifu ni P3 sio?
CinderelaShule ya msingi kigoma
Hahahaa mzeee ulikuwa unawazimikia watoto wa lasita bGuys leo mmenikumbusha mbali , zamani nilikuwa nadhani kiwa ile hali ilikuwa inanitokea Mimi peke yangu kumbe tuko wengi hivi . Lol [emoji4][emoji4][emoji7]
Mambo yalianza mapema saaaanaAisee nimekumbuka mbalii ila huyo crush wangu nikimuona sahivi najiuliza kilichofanya nicrushiane naye vile ni nini sioni kabisa,utoto bana [emoji3][emoji3]
Mange yule wa kwa trump???Crush....crushes[emoji23][emoji23]
Primary... Mange
Secondary.... ........
Chuo........
.
.
.
Jf..........!! Huyu wa jf dadeq!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Catherine where are you my love. Siku hizi nimekuwa mtu wa mitungi tuu[emoji24]. Since tulivyotengana darasa la sita sajawahi penda kama nilivyokupenda wewe malikia wangu. Plz niambie ulipo my love nije walau nikuone tu roho yangu itaridhika.
It's me ur crush,
Kipepeo,
Kiwalani.
Fanya hima ukamsalimie atafarijika sana, umsalimie kwa bashasha na hug kubwa ahisi kupona Nitafan
Nitafanya aisee,kwenye grp walishakwenda na tulimchangia .Ngoja nitafute muda niende kumsalimiaFanya hima ukamsalimie atafarijika sana, umsalimie kwa bashasha na hug kubwa ahisi kupona bibie
SafiNitafanya aisee,kwenye grp walishakwenda na tulimchangia .Ngoja nitafute muda niende kumsalimia
Haaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hili neno la wacha we alikua anapenda sana kulitumia bby angu yani kipindi namueleza ya moyoni navyompenda yeye anasema wacha we...usinambie!! aisee.