Naamini waliokuwa wakipata tabu juu yangu Ni wengi mno, manake nilikuwaga karembo bhanaaaa[emoji23] kapole Sana na kenye aibu nyingiiii, Kuna baadhi tukikutana wanataka watake advantage[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],
Mi nilimpenda mkaka flani tukiwa form 3 nae alinipenda nadhani manake alikuwa anaona sifa kweli kuwa karibu na mrembo wa shule[emoji2956][emoji2956], alikuwa anafanya poa class kunizidi nami nikaamza kukaza ili nimfikie nikampita na kumpita akaanza kunikunjia akawa anabana hata kunifundisha akaacha,, na kwa miluzi ilivyokuwa mingi nikampotezeaga, tulikutana 2015 ndipo kunitongoza nami nikamwambia nilimpendaga miaka hiyo,,, ila sio kwa utu uzimani tena, mi nikamuona km bado mdogo sana akili yangu iko mbele kuliko yake[emoji36][emoji36][emoji36] na vile nimeolewa na mwanaume mkubwa karibu nusu ya umri wangu Basi wakaka niliosoma nao nawaonaga bado wavulana