ashy da don
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 615
- 670
Mkuu yule demu cheupe,kama watu wanavyohonga siku hz mm nlikua nahonga elimu yani nlikua namhonga elimu mpaka basi,mana ndo ktu pekee nlichokua naweza kumhonga[emoji4], imagine alipiga Division one olevo na akawa wa kwanza kwa mabinti!nazani shida yangu ilikua moja tu nilikua rough sana,nilijiona john kisomo na manzi akawa anatoka na barobaro mmoja hivi!Baada ya kumaliza O level ikawaje......?
Nilivomaliza o level tukaaachana nkampotezea,kufika chuo nikamkumbushia akanikataa tena[emoji9][emoji9],sasa hivi nshakata tamaa ingawa namba zake bado ninazo!