Uchaguzi 2020 Unamkumbuka Kasusura? Kaka yake atia nia Biharamulo

Kuna tofauti ndogo sana kati ya Msukuma na Ng'ombe au huenda wanafanana kabisaaa.

Hili halina ubishi [emoji57]
Na mmasai au mbarbaig( mang'ati) nani afadhali ? Jamii ya wasukuma ni jamii iliyostaarabika kulinganisha na jamii zingine za kifugaji
 
Mkuu sema akina kasusura ni wabinafsi na jamii inayojiona wao ni bora kuliko wengine Biharamulo ila kuliko mmpe mhaya hapana bora kasusura hata kama ni mwizi
Sasa Mkuu, Mwizi ni JAMES au JUSTIN?
 
Hili kabila waolewe na wasukuma ili miaka 50 mbele litoweke
Wala hicho mkuu siyo cha kuuliza tena! Kati ua makabila yanayokufa ni hili la Washubi, Wasumbwa pamoja na Wazinza. Tangu Wasukuma wameingia huko miaka ya 1970 kuna operesheni kubwa sana ya kuwafuta inaendelea. Sasa hivi zaidi ya 80 ya vikabila hivyo wanaongea Kisukuma!
 
Ahahaha
 
Kwanini umemfungamanisha na.uovu wa nduguye?
 
Justin ndo mwizi na alisaidiwa na kaka yake James alipokua Police HQ na ndo huyu James katia Nia
Alimsaidia kwenye KUIBA au katika masuala ya kisheria ili kaka yake awe huru? Je ukimsaidia mtuhumiwa kwenye masuala ya kisheria automatically naww unakua umetenda kosa kama alilofanya huyo mtuhimiwa au? MAWAKILI WOTE WAHALIFU KAMA NDIO HIVYO
 
Wabadilike
 
Noma sana hii migawanyiko ndio tatizo maana kila kabila linapambana kuwazidi wengine
 
Wahaya waliipokea elimu kitambo sana sio kagera tu hata Tanzania ila niwabaguzi hatari
 
Pamoja na yote lakini hawa akina Kasusura ambao asiri yao ni Rwanda ni wabaguzi na wanajiona kuwa wao ni matawi ya juu kuliko wenyeji kabisa wa Bmlo,hata kwenye kuoa ni vigumu sana kwa mwenyeji kuoa katika familia yao,hata wao wenyewe siyo rahisi ukakuta wameoa kwa mwenyeji mara nyingi wanaoana wenyewe kwa wenyewe, watusi kwa watusi kutoka Rwanda.
 
Funguka zaidi mkuu
 
Akija mtu ambaye si Mhaya kwenye uzi huu atagundua kitu. Hii nchi bado sana yani.
 
Mzee Fares Kabuye alikuwa na dhamira ya dhati alikosa support
Biharamulo ikipata kiongozi mwenye dhamira nia ya kweli itabadilika (ila msimupe mhaya)
Hivi yule mzee mkandarasi mwenye zile Robert hotel ni mhaya au Msubi?

Huyo MZEE unayomsema ni makandarsi mwenye robert hotel ni marehemu mzee REMMY NDESANJOH,, alikuwa mchaga amefariki mwezi jana.
 
Hao akina Kasusura ndo wenye Biharamulo yao ni haki kuwa wabunge,wana uchungu nayo sio kama akina Mukasa waamiaji hawana uchungu kabisa na maendeleo ya Biharamulo. Biharamulo naijua vizuri.
Kumbe hawa watu wana asili ya wizi,anatupiga kwenye ujenzi na kupandisha being ya cement.Biharamulo ni kubaya na jamaa alipindisha barabara kuelekea Chato.Biharamulo Ni kama shimoni hivi.
 
Huyo MZEE unayomsema ni makandarsi mwenye robert hotel ni marehemu mzee REMMY NDESANJOH,, alikuwa mchaga amefariki mwezi jana.
Pole kwa familia yake
Mzee alikuwa poa sana nakumbuka niliwahi lala Robert hotel kwa mwezi mzima akaniamini wakati hanijui Mungu amuweke anapostahili.
 
Wahaya waliipokea elimu kitambo sana sio kagera tu hata Tanzania ila niwabaguzi hatari
Ni kweli ubaguzi wa Wahaya Kagera upo juu na wamechangia kuharibu uchumi wa majirani zao Biharamulo na Ngara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…