Na mmasai au mbarbaig( mang'ati) nani afadhali ? Jamii ya wasukuma ni jamii iliyostaarabika kulinganisha na jamii zingine za kifugajiKuna tofauti ndogo sana kati ya Msukuma na Ng'ombe au huenda wanafanana kabisaaa.
Hili halina ubishi [emoji57]
Sasa Mkuu, Mwizi ni JAMES au JUSTIN?Mkuu sema akina kasusura ni wabinafsi na jamii inayojiona wao ni bora kuliko wengine Biharamulo ila kuliko mmpe mhaya hapana bora kasusura hata kama ni mwizi
Sasa Mkuu, Mwizi ni JAMES au JUSTIN?
Wala hicho mkuu siyo cha kuuliza tena! Kati ua makabila yanayokufa ni hili la Washubi, Wasumbwa pamoja na Wazinza. Tangu Wasukuma wameingia huko miaka ya 1970 kuna operesheni kubwa sana ya kuwafuta inaendelea. Sasa hivi zaidi ya 80 ya vikabila hivyo wanaongea Kisukuma!Hili kabila waolewe na wasukuma ili miaka 50 mbele litoweke
AhahahaHuyu polisi alistaafu lini utumishi wa polosi? Waliozuiwa na katiba kuwa wanasiasa ni pamoja na polisi.
Nakutakia ubunge mwema, na ile nyumba yenu uikarabati boss.
Nusu ya wakazi Wa biharamulo mjini ni wanajeshi!
Wasubi mnapenda sana ukabila, kwa nini hadi uandike kabila?
Hili kabila waolewe na wasukuma ili miaka 50 mbele litoweke
Alimsaidia kwenye KUIBA au katika masuala ya kisheria ili kaka yake awe huru? Je ukimsaidia mtuhumiwa kwenye masuala ya kisheria automatically naww unakua umetenda kosa kama alilofanya huyo mtuhimiwa au? MAWAKILI WOTE WAHALIFU KAMA NDIO HIVYOJustin ndo mwizi na alisaidiwa na kaka yake James alipokua Police HQ na ndo huyu James katia Nia
WabadilikeNyakahura/Muzani palee uswahilii mwingii,, unakuta vijiwe vya kahawa kibaoo, kinachozungumzwa hapo ni kujadili watuu na sio kujikwamua kimaendeleo. Chaa ajabu wanaume na vijana wakiume ndio number 1 kwa umbeaa,, !! Wakija wageni wasukumaa wenye hela zao kwa ajili ya kuwekeza wanakutana na vikwazo kibao Tena kutoka kwa viongoz etii wanapata wap hizo hela, maraa wao ni majambaz etc...
Kiasili wahaya, wasubi na wanyambo ni jamii moja iliyogawanyika makundi, lakini mhaya ana ujuaji na ubaguzi uliopitiliza ndo maana kwa mnyambo huwa anakumbana na mchuano mkali kwakuwa wanyambo ni jamii kubwa kidogo. Hivyo hasira zake huzimalizia kwa msubi ambaye ana jamii ndogo sana.
Zamani jamii ya kisubi ilikuwa vizuri sana, kuna sababu zilizochangia kuidunisha ikiwa ni pamoja na wahaya wenyewe lakini hawawezi kusema.
Ni kweli Wahaya ndio chanzo cha umasikini wa Biharamulo na Ngara kwasababu
1.Walipora elimu za jamii hizo
Mfano: mtoto wa kisubi au ngara akishinda hapati matokeo na atapelekwa kusoma mhaya hawa hawaendi.
2.Mapadre na Wachungaji walikuwa Wahaya fursa zote wamepeleka kwao.
3.Walimu mashule walikuwa Wahaya na walikuwa wanakuja na ndg zao walio feri kurudia hata asiposhinda atasoma kwa namba ya mwenyeji
4. Fursa za ajira zote walijipa Wahaya na kukandamiza haya makabila.
Haya yote ni matokeo yaliyosababishwa na Wahaya
WASUBI AMKENI
Funguka zaidi mkuuInaonesha wewe unaijua kijujuu Biharamulo. Kwa vile ulikuwa Katoke 24 years ago! Ungejua wakati Chief Kasusura ambaye ni baba yake mdogo na Kolando - James Kasusura ungejua chimbuko la umaskini wa Biharamulo. Nyarubungo wakati huo ilikuwa ni Oysterbay ya B’mlo . Nitaendelea ukinipa ruksa
Mzee Fares Kabuye alikuwa na dhamira ya dhati alikosa support
Biharamulo ikipata kiongozi mwenye dhamira nia ya kweli itabadilika (ila msimupe mhaya)
Hivi yule mzee mkandarasi mwenye zile Robert hotel ni mhaya au Msubi?
Kumbe hawa watu wana asili ya wizi,anatupiga kwenye ujenzi na kupandisha being ya cement.Biharamulo ni kubaya na jamaa alipindisha barabara kuelekea Chato.Biharamulo Ni kama shimoni hivi.Hao akina Kasusura ndo wenye Biharamulo yao ni haki kuwa wabunge,wana uchungu nayo sio kama akina Mukasa waamiaji hawana uchungu kabisa na maendeleo ya Biharamulo. Biharamulo naijua vizuri.
Pole kwa familia yakeHuyo MZEE unayomsema ni makandarsi mwenye robert hotel ni marehemu mzee REMMY NDESANJOH,, alikuwa mchaga amefariki mwezi jana.
Ni kweli ubaguzi wa Wahaya Kagera upo juu na wamechangia kuharibu uchumi wa majirani zao Biharamulo na NgaraWahaya waliipokea elimu kitambo sana sio kagera tu hata Tanzania ila niwabaguzi hatari
Binafsi sipendi siasa acha niendelee kuwa na siasa za mtandaoniSiasa haina huruma