Unamkumbuka mpenzi wako wa sekondari? Alikufanyia nini cha kukumbukwa?

Huyo ndie mwanaume anayeweza kukoa na kuwa na highest degree of responsibility na wewe. Ajabu wanawake wengi huwa hamuwaelewi matokeo yake mna fall kwa matapeli.
Sijuagi hata huwa inakuaje πŸ˜“πŸ˜“
 
Dam km Dam tofauti hapa ww ni Dam55 af mi ni Dam Boe
 
Khaaa! Kuna watu mlianza kukichafua zamani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijui nimtajeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ maeneo flan hivi ya walima parachichi tukuyu yeye yupo kayuki girls Mimi nipo Rungwe boys.likizo anapelekwa dar tuition basi anapandisha mashetani eti hayataki aishi dar kumbe amenimisi muhuni tulikuja kuachana kisa wivu wangu uliopitiliza
 
Ndo shida ya kusoma uboyzn......eneway kipindi kile skuwa hata na habari kama kuna mapenzi ni misuli tuu
 
Kwaiyo kwa visa vyote hivyo hata hukumtunuku tunda la edeni??
 
Pole ila uliruka majoka mkuu?
 
Pale ambapo hampendwi ndio mnapenda kawaida labda mtafute inawezekana yupo atakuskia
 
Sitaki hata kukumbuka nilimtongoza uyo demu akanisemea kwa mwalimu daah nilikula fimbo kama zote najua wengine walitumia Barua ila nilienda na oral naona nilipoteza pia confidence.
 
[QUOTE="cabo, post: 43809357, member: 370615"unaweza kuhudumia kila kitu na usipate zawadi hawana jema hao kuna mtu katulia haudumii ivyo na anapendwa kila anachotaka anapewa[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…