Hahahaaa... kuna mmoja wa advance niliweka nikafuta!! Ila Mapenzi ya kishule shule yana vitukooo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anza na 2nd wanakua na matukio mnooo.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sasa vipi wakikutana na mwanaume asiejua kuyatoa sipati picha wanavo😡😡😡 Hahaha!!Na wana maji ya hatari, ukute me anayejua namna ya kuyatoa ohoooooooo......godoro ni chapachapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nilikuwa domo zege na wala sikuwahi kufanya mapenzi kipindi hicho Nilimpenda demu Moja anaanza na jina la G bahati mbaya huyo demu akaama shule niliyokuwa nasoma nae akaamia shule nyingine kutokana na jinsi nilivyokuwa nampenda nikawalazimisha Wazazi wangu waniamishe kwenda hiyo shule aliyooenda huyo demu na kweli nanikafanikiwa nikakatuna nae tulikuwa tunakimbizana kama vile shelikani na karen's kapoor, tulikuwa tunasaidiana kwenye chumba Cha kufanya mitihani maana mimi nilikuwa mkali wa hesabu mbovu kwenye somo la English alafu yeye alikuwa mzuri sana kwenye english mbovu kwenye math's.Baada ya kumaliza form iv nilikuwa naenda kila weekend nilikuwa naenda karibu na kwao kupiga Mingo ilimradi tu nimuone.Inawezekana form 2 kwanumri huo mwingine kashafika
Mapenzi kizungumkuti.Pale ambapo hampendwi ndio mnapenda kawaida labda mtafute inawezekana yupo atakuskia
Nilimfungua tukaishi sana hadi alitaka tuzae mtotoPole ila uliruka majoka mkuu?
Alafu hapo ukute baada ya yote HAYO bado kuna siku ulimtema kwa kuona sio type yako1. Alinilipia deni la vitabu viwili vilivyoibiwa nikiwa kidato cha pili mwezi wa 11 bila ya mimi kumfahamu. Nikiwa kidato cha tatu niliibiwa begi na vitabu ndani yake, wakati nimefikishwa staff natishiwa adhabu, alikuja na vitabu vipya viwili na kumkabidhi yule mwalimu. Mwalimu akamuuliza, "Tena! Unamlipia deni kwa mara nyingine! Kwani wewe na huyu ni ndugu?". Kesi ikaishia hapo. Wiki moja baadae alinifungukia, japo alikuwa anatetemeka na kutokwa jasho jingi huku akimung'unya maneno[emoji23][emoji23]
2. Kuna kipindi nilichelewa kufika shuleni kwenye zamu ya yule mwalimu aliyekosana na mkewe[emoji23][emoji23] Akanipatia adhabu ya kufanya usafi ofisi ya taaluma baada ya muda wa vipindi. Huyu kaka alinambia nikapumzike mahali, yeye atafanya peke yake. Na kweli alisafisha vyema mpaka walimu wakanisifia kesho yake
3. Kuna mwalimu mmoja hivi wa kiume alikuwa ni zoazoa, anatumia nafasi yake kulazimisha ngono. Baada ya kuona napingana nae alianza kunipatia adhabu za hapa na pale na vipigo. Kuna siku kanikata kibao cha nguvu darasani bila kosa, huyo kaka kainuka pale na kumpatia kipigo maskini[emoji23] mpaka mdomo wa yule mwalimu mshnz ukapasuka vipande viwili kama pazia la hekalu[emoji23] Akafukuzwa shule kwa kunitetea mimi
Nimeyakumbuka haya yote baada ya kukutana na profile yenye picha yake kwa mtandao wa facebook
We unamkumbuka yupi kwa yapi?
Mjukuu WA Mzee mwakamomola na bwana MBWANJI MBWAXSijui nimtaje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] maeneo flan hivi ya walima parachichi tukuyu yeye yupo kayuki girls Mimi nipo Rungwe boys.likizo anapelekwa dar tuition basi anapandisha mashetani eti hayataki aishi dar kumbe amenimisi muhuni tulikuja kuachana kisa wivu wangu uliopitiliza
Aisee pole sana mkuu ndio ivyo Mungu hakupanga naimani leo angekua wifeNilimfungua tukaishi sana hadi alitaka tuzae mtoto
Kweli kabisa.Mapenzi kizungumkuti.
Kila sehemu wivu[emoji1][emoji1][emoji1]Sijui nimtaje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] maeneo flan hivi ya walima parachichi tukuyu yeye yupo kayuki girls Mimi nipo Rungwe boys.likizo anapelekwa dar tuition basi anapandisha mashetani eti hayataki aishi dar kumbe amenimisi muhuni tulikuja kuachana kisa wivu wangu uliopitiliza
Binafsi nilikuwa domo zege na wala sikuwahi kufanya mapenzi kipindi hicho Nilimpenda demu Moja anaanza na jina la G bahati mbaya huyo demu akaama shule niliyokuwa nasoma nae akaamia shule nyingine kutokana na jinsi nilivyokuwa nampenda nikawalazimisha Wazazi wangu waniamishe kwenda hiyo shule aliyooenda huyo demu na kweli nanikafanikiwa nikakatuna nae tulikuwa tunakimbizana kama vile shelikani na karen's kapoor, tulikuwa tunasaidiana kwenye chumba Cha kufanya mitihani maana mimi nilikuwa mkali wa hesabu mbovu kwenye somo la English alafu yeye alikuwa mzuri sana kwenye english mbovu kwenye math's.Baada ya kumaliza form iv nilikuwa naenda kila weekend nilikuwa naenda karibu na kwao kupiga Mingo ilimradi tu nimuone.Inawezekana form 2 kwanumri huo mwingine kashafika
Ulikuwa kama mimi mkuuNilikuwa naogopa wanawake kama kambi ya jeshi
AsanteHongera sana
Nina hakika yupo humu apo nikiendelea zaidi atanijua.Tunasubiri
Aya poaNina hakika yupo humu apo nikiendelea zaidi atanijua.
Kuna siku alikuja kwangu nikamfuma akiperuzi humu japo sikufanikiwa kuona ID yake ila najua yupo humu.
Ila mjua kuwa humu JF tuna pisi Kali sana ukiziona huwezi amini aisee.
Mapenz ya shule wachache waliowahi kusexBinafsi nilikuwa domo zege na wala sikuwahi kufanya mapenzi kipindi hicho Nilimpenda demu Moja anaanza na jina la G bahati mbaya huyo demu akaama shule niliyokuwa nasoma nae akaamia shule nyingine kutokana na jinsi nilivyokuwa nampenda nikawalazimisha Wazazi wangu waniamishe kwenda hiyo shule aliyooenda huyo demu na kweli nanikafanikiwa nikakatuna nae tulikuwa tunakimbizana kama vile shelikani na karen's kapoor, tulikuwa tunasaidiana kwenye chumba Cha kufanya mitihani maana mimi nilikuwa mkali wa hesabu mbovu kwenye somo la English alafu yeye alikuwa mzuri sana kwenye english mbovu kwenye math's.Baada ya kumaliza form iv nilikuwa naenda kila weekend nilikuwa naenda karibu na kwao kupiga Mingo ilimradi tu nimuone.
Pamoja na movement zangu zote kea huyo binti sijawahi kumla huyu binti zaidi ya kumpiga mate na kumchezea tu ingawa nilikuwa na position nzuri siku moja ya kufanya nae mapenzi lakini niliogopa kufanya nae mapenzi ila now days huyo ma ameshaolewa
Ulikuwa kama mimi mkuu
Hapo mlikuwa mnajiona wajanjaAlikuwa anapenda kunitembeza kwenye mvua,natetemeka njia nzima navyorudi nyumbani.Eti mapenzi ya kihindi🙄😏