Unamkumbuka Ray C “Kiuno bila Mfupa”

Ray c kabla ya utangazaji na uanamuziki alikuwa dj...
Nashangaa sahv mkiwaona madj wa kike mnaona kama jambo geni,wakati enzi hizo Ray c alikuwa anachezea timetables

Ova
Ww Mzee hili jiji unalijua kama sufuria ya ugali
 
huyu mdogo wangu aliingia kwenye kutumia cocaine na akatibiwa sober house, sijui kama amepona ama bado anahitaji kumrudia MUNGU.
Pia, haja jaaliwa kupata mume wa kumpa mimba, anatumia wanaume na wanatumia njia za asili za uzazi ndio maana hakuna mtoto katika umri huu anakimbilia MENO-PAUSE.
 
Sema ali-undergo transformation moja ya ajabu:



Then ikaja:


Sasa:

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…