Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Sura ya Mchungaji ni kama ya Taribo West ni kama siyo ya Taribo West.Taribo West mchezaji wa zamani wa Nigeria kwa sasa ameokoka na ni mchungaji kanisani kwake. Kanisa lake ni la miujiza na limeanza kuwa na waumini wengi siku baada ya siku.
View attachment 2568902
Taribo alijipatia umaarufu akiwa anacheza soka, huku akiwa na style yake ya kusuka nywele na kuzipaka rangi ya kijani.
Enzi hizo Africa ilikuwa inazalisha talents kubwa sana.Sura ya Mchungaji ni kama ya Taribo West ni kama siyo ya Taribo West.
Ila yote kwa yote jamaa nilikuwa namwelewa sana, nimetunza picha zake za kwenye jojo akiwa na akina Finidi George, Captain Sunday Oliseh, Victor Ikpeba, JJ Okocha, Uche Okwechukwu,n.k, nilizozipata baada ya kununua jojo (big G) wakati nasoma Wailes Primary School mwaka 1998. Picha ninazo hadi leo. Ile Nigeria nilikuwa naipenda.
Umri ule uliathiri kiwango chake?One of the most overated player,akiwa anacheza mpira umri waje ulikuwa unafikirisha sana,sura yamiaka 40 tukaambiwa ana 25.
Huyu alipunguza miaka si chini ya 15
Kabisa! Africa ilishapoteana kwa sasa. Siku hizi kuna wachezaji mayai mayai na nyoro nyoro tupu.Enzi hizo Africa ilikuwa inazalisha talents kubwa sana.
Sitasahau lile shuti la Sunday Oliseh alilowafunga Spain,Sura ya Mchungaji ni kama ya Taribo West ni kama siyo ya Taribo West.
Ila yote kwa yote jamaa nilikuwa namwelewa sana, nimetunza picha zake za kwenye jojo akiwa na akina Finidi George, Captain Sunday Oliseh, Victor Ikpeba, JJ Okocha, Uche Okwechukwu,n.k, nilizozipata baada ya kununua jojo (big G) wakati nasoma Wailes Primary School mwaka 1998. Picha ninazo hadi leo. Ile Nigeria nilikuwa naipenda.
We angalia mwaka 99 akiwa inter millan au AC millan eti alikuwana miaka 25, kama ameokoka atubu kwanza dhambi ya kudanganya umri.Umri ule uliathiri kiwango chake ?
Oo oo ooh! Lile halikuwa shuti, ilikuwa ni supersonic missile ilipigwa mita nyingi sana, almost katikati ya uwanja. Oliseh alifanya balaa.Sitasahau lile shuti la Sunday Oliseh alilowafunga Spain,
Mkuu umemsahau mtu makini sana,Rashid Yekini R.I.P
Yeah halafu wengi hawadumu muda mrefu na hata wakija kwenye national teams zao ni kama hawana hamasa ya kucheza sana.Kabisa! Africa ilishapoteana kwa sasa. Siku hizi kuna wachezaji mayai mayai na nyoro nyoro tupu.
Hivi Tinubu ana miaka 72?We angalia mwaka 99 akiwa inter millan au AC millan eti alikuwana miaka 25,kama ameokoka atubu kwanza dhambi ya kudanganya umri
Nayenyewe ni dhambi tu,watu wa Mungu
Na sasa unamkadiria akiwa na umri gani?One of the most overated player,akiwa anacheza mpira umri waje ulikuwa unafikirisha sana,sura yamiaka 40 tukaambiwa ana 25.
Huyu alipunguza miaka si chini ya 15
Kidaftari cha stika za wachezaji, unakuwa unatazama kama albam za picha na washikaji, enzi hizooSura ya Mchungaji ni kama ya Taribo West ni kama siyo ya Taribo West.
Ila yote kwa yote jamaa nilikuwa namwelewa sana, nimetunza picha zake za kwenye jojo akiwa na akina Finidi George, Captain Sunday Oliseh, Victor Ikpeba, JJ Okocha, Uche Okwechukwu,n.k, nilizozipata baada ya kununua jojo (big G) wakati nasoma Wailes Primary School mwaka 1998. Picha ninazo hadi leo. Ile Nigeria nilikuwa naipenda.
Wale ndio walikuwa truly the super eagles.Oo oo ooh!Lile halikuwa shuti, ilikuwa ni supersonic missile ilipigwa mita nyingi sana, almost katikati ya uwanja. Oliseh alifanya balaa.
Nilikuwa nimekaa sakafuni kwenye sebule ya jirani na nilishtukia tu Niko hewani nashangilia. What a good memory![emoji134]