mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Angalia hiyo picha kulia, hiyo ni picha ya mstaafu kabisa hata JK mwenye miaka 73 anaonekana kijana, ila google inaonyesha ana miaka 49, inachekesha.Na sasa unamkadiria akiwa na umri gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia hiyo picha kulia, hiyo ni picha ya mstaafu kabisa hata JK mwenye miaka 73 anaonekana kijana, ila google inaonyesha ana miaka 49, inachekesha.Na sasa unamkadiria akiwa na umri gani?
We ongelea kiwango acha na mimi nijadili umri mkuuHivi Tinubu ana miaka 72 ?
Lakini umri wake uliathiri kiwango chake ??
Punyeto mkuuDuuh rasta mpaka upara nywele zimeenda wapi?
Wanadai alipunguza miaka 25 net.One of the most overated player,akiwa anacheza mpira umri waje ulikuwa unafikirisha sana,sura yamiaka 40 tukaambiwa ana 25.
Huyu alipunguza miaka si chini ya 15
Akatubu aisee.Angalia hiyo picha kulia,hiyo ni picha ya mstaafu kabisa hata jk mwenye miaka 73 anaonekana kijana,ila google inaonyesha ana miaka 49 .inachekesha
Kuna lile kava la Taribo alikuwa kwenye pembe ya uwanja kama vile anafinya hivi. Lile kava lilikuwa linapendwa sana.Sura ya Mchungaji ni kama ya Taribo West ni kama siyo ya Taribo West.
Ila yote kwa yote jamaa nilikuwa namwelewa sana, nimetunza picha zake za kwenye jojo akiwa na akina Finidi George, Captain Sunday Oliseh, Victor Ikpeba, JJ Okocha, Uche Okwechukwu,n.k, nilizozipata baada ya kununua jojo (big G) wakati nasoma Wailes Primary School mwaka 1998. Picha ninazo hadi leo. Ile Nigeria nilikuwa naipenda.
Hio picha ya kushoto nafikiri ndiyo mechi Nigeria alipigwa 4-1 na Denmark World Cup ya 98 hakuamini kilichotokeaTaribo West mchezaji wa zamani wa Nigeria kwa sasa ameokoka na ni mchungaji kanisani kwake. Kanisa lake ni la miujiza na limeanza kuwa na waumini wengi siku baada ya siku.
View attachment 2568902
Taribo alijipatia umaarufu akiwa anacheza soka, huku akiwa na style yake ya kusuka nywele na kuzipaka rangi ya kijani.
We angalia mwaka 99 akiwa inter millan au AC millan eti alikuwana miaka 25, kama ameokoka atubu kwanza dhambi ya kudanganya umri.
Na yenyewe ni dhambi tu, watu wa Mungu.
Kupanga ni kuchagua, Ila kachagua pazuri, sadaka kedekedeTaribo West mchezaji wa zamani wa Nigeria kwa sasa ameokoka na ni mchungaji kanisani kwake. Kanisa lake ni la miujiza na limeanza kuwa na waumini wengi siku baada ya siku.
View attachment 2568902
Taribo alijipatia umaarufu akiwa anacheza soka, huku akiwa na style yake ya kusuka nywele na kuzipaka rangi ya kijani.
We angalia hiyo picha ni ya mtu wa miaka 49 kweli
Ka ghetto kako,upande m1 wa ukuta magazeti na wa2 sticker za jojo,sasa hapo lazima ile ya R9 ina thamani kubwa,Zinedine,Okocha,Roger Miller.Kidaftari cha stika za wachezaji, unakuwa unatazama kama albam za picha na washikaji, enzi hizoo