Unamkumbuka Taribo West wa Nigeria, siku hizi ameokoka na ni mchungaji

Unamkumbuka Taribo West wa Nigeria, siku hizi ameokoka na ni mchungaji

Na sasa unamkadiria akiwa na umri gani?
Angalia hiyo picha kulia, hiyo ni picha ya mstaafu kabisa hata JK mwenye miaka 73 anaonekana kijana, ila google inaonyesha ana miaka 49, inachekesha.
 
Angalia hiyo picha kulia,hiyo ni picha ya mstaafu kabisa hata jk mwenye miaka 73 anaonekana kijana,ila google inaonyesha ana miaka 49 .inachekesha
Akatubu aisee.

1680027321116.jpeg
 
Sura ya Mchungaji ni kama ya Taribo West ni kama siyo ya Taribo West.

Ila yote kwa yote jamaa nilikuwa namwelewa sana, nimetunza picha zake za kwenye jojo akiwa na akina Finidi George, Captain Sunday Oliseh, Victor Ikpeba, JJ Okocha, Uche Okwechukwu,n.k, nilizozipata baada ya kununua jojo (big G) wakati nasoma Wailes Primary School mwaka 1998. Picha ninazo hadi leo. Ile Nigeria nilikuwa naipenda.
Kuna lile kava la Taribo alikuwa kwenye pembe ya uwanja kama vile anafinya hivi. Lile kava lilikuwa linapendwa sana.

Siku zinakimbia kwelikweli!
 
Taribo West mchezaji wa zamani wa Nigeria kwa sasa ameokoka na ni mchungaji kanisani kwake. Kanisa lake ni la miujiza na limeanza kuwa na waumini wengi siku baada ya siku.
View attachment 2568902
Taribo alijipatia umaarufu akiwa anacheza soka, huku akiwa na style yake ya kusuka nywele na kuzipaka rangi ya kijani.
Hio picha ya kushoto nafikiri ndiyo mechi Nigeria alipigwa 4-1 na Denmark World Cup ya 98 hakuamini kilichotokea
 
Taribo West mchezaji wa zamani wa Nigeria kwa sasa ameokoka na ni mchungaji kanisani kwake. Kanisa lake ni la miujiza na limeanza kuwa na waumini wengi siku baada ya siku.
View attachment 2568902
Taribo alijipatia umaarufu akiwa anacheza soka, huku akiwa na style yake ya kusuka nywele na kuzipaka rangi ya kijani.
Kupanga ni kuchagua, Ila kachagua pazuri, sadaka kedekede
 
Kijijini una
Kidaftari cha stika za wachezaji, unakuwa unatazama kama albam za picha na washikaji, enzi hizoo
Ka ghetto kako,upande m1 wa ukuta magazeti na wa2 sticker za jojo,sasa hapo lazima ile ya R9 ina thamani kubwa,Zinedine,Okocha,Roger Miller.
Ukibahatisha kuzamisha kademu mle kanatamani maisha ya pale ya dumu kwake.
 
Back
Top Bottom