Unamkumbuka yule askari aliyeua mtu mweusi US,basi kwisha habari yake. Wazungu wakekesha kupiga simu Afrika kuomba msamaha

Unamkumbuka yule askari aliyeua mtu mweusi US,basi kwisha habari yake. Wazungu wakekesha kupiga simu Afrika kuomba msamaha

Jamaa anapigwa "kipande".

Navyojua mimi, kama umefanya kosa la kukusudia na ulikanywa "kipande" kinakupata, na huwa hakina msamaha.

Ukishapigwa umepigwa.

Wazee wakikaa kukushughulikia mzee ni hatari sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waswahili wanasema ukijua hili wenzio wanajua lile.

Kikundi cha kina mama kutoka Kongo kimesema enough is enough, wamesema sasa basi. Wakina mama hao wamechoshwa na taarifa za kila siku kutoka Marekani ambapo kila kukicha watu weusi wamekuwa wakiuliwa na hivyo kutishia kutoweka kwa kizazi cha watu weusi Marekani.
Wakinamama hao wamedai vijana weusi wa kimerakani ni watoto zao,ni kaka zao walioibiwa miaka mingi na hivyo jukumu la kuwalinda ni jukumu lao msingi kabisa.

Wakinamama hao wameamua kuchukua mambo mikononi mwao na kuanza kuwashughulikia askari wote wabaguzi.

Kwa kuanza waliita mizimu ya Kibembe mbele ya picha ya huyo askari huku wakilitaja jina lake mara kadhaa, wakimuombea mabalaa ya kila aina.

Baada tu ya maombi hayo jamaa alifukuzwa kazi ikfuatiwa na kufunguliwa mashtaka ya mauaji. Wakuu mpeni wiki tu huyu jamaa. Machozi ya hawa wakinamama hayaendi bure.

Finally watu wamejitolea kuwasaidia hawa vijana weusi wa Marekani.

View attachment 1463407
Wanapiga simu Afrika?
 
Mke wake keshaomba talaka.Ameshawahi kufanya jaribio la kutaka kuuwa blacks huko nyuma.
Adhabu yake apelekwe jeshini Afghanistan au somalia akauwe magaidi.
Sura ya uuaji,ukatili na ubaguzi hii kabisa.
 

Attachments

  • FB_IMG_1590826519347.jpg
    FB_IMG_1590826519347.jpg
    18.4 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1590692633471.jpg
    FB_IMG_1590692633471.jpg
    20.1 KB · Views: 2
Waswahili wanasema ukijua hili wenzio wanajua lile.

Kikundi cha kina mama kutoka Kongo kimesema enough is enough, wamesema sasa basi. Wakina mama hao wamechoshwa na taarifa za kila siku kutoka Marekani ambapo kila kukicha watu weusi wamekuwa wakiuliwa na hivyo kutishia kutoweka kwa kizazi cha watu weusi Marekani.
Wakinamama hao wamedai vijana weusi wa kimerakani ni watoto zao,ni kaka zao walioibiwa miaka mingi na hivyo jukumu la kuwalinda ni jukumu lao msingi kabisa.

Wakinamama hao wameamua kuchukua mambo mikononi mwao na kuanza kuwashughulikia askari wote wabaguzi.

Kwa kuanza waliita mizimu ya Kibembe mbele ya picha ya huyo askari huku wakilitaja jina lake mara kadhaa, wakimuombea mabalaa ya kila aina.

Baada tu ya maombi hayo jamaa alifukuzwa kazi ikfuatiwa na kufunguliwa mashtaka ya mauaji. Wakuu mpeni wiki tu huyu jamaa. Machozi ya hawa wakinamama hayaendi bure.

Finally watu wamejitolea kuwasaidia hawa vijana weusi wa Marekani.

View attachment 1463407
Mbona awakutumia hio mizimu kumroga mobutu.
Au Askari wa kiafrica wanaouwa waafrika wenzao bila kosa.
 
Waswahili wanasema ukijua hili wenzio wanajua lile.

Kikundi cha kina mama kutoka Kongo kimesema enough is enough, wamesema sasa basi. Wakina mama hao wamechoshwa na taarifa za kila siku kutoka Marekani ambapo kila kukicha watu weusi wamekuwa wakiuliwa na hivyo kutishia kutoweka kwa kizazi cha watu weusi Marekani.
Wakinamama hao wamedai vijana weusi wa kimerakani ni watoto zao,ni kaka zao walioibiwa miaka mingi na hivyo jukumu la kuwalinda ni jukumu lao msingi kabisa.

Wakinamama hao wameamua kuchukua mambo mikononi mwao na kuanza kuwashughulikia askari wote wabaguzi.

Kwa kuanza waliita mizimu ya Kibembe mbele ya picha ya huyo askari huku wakilitaja jina lake mara kadhaa, wakimuombea mabalaa ya kila aina.

Baada tu ya maombi hayo jamaa alifukuzwa kazi ikfuatiwa na kufunguliwa mashtaka ya mauaji. Wakuu mpeni wiki tu huyu jamaa. Machozi ya hawa wakinamama hayaendi bure.

Finally watu wamejitolea kuwasaidia hawa vijana weusi wa Marekani.

View attachment 1463407
Hao wamedandia meli, sheria ni lzm ufukuzwe kazi kwanza then unashtakiwa unafungwa
 
Back
Top Bottom