ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Wakimaliza kwa huyo wamshughulikie na Baba lao Donald pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'Usiamini'Husiamini kila unachokiona
Kaka hii sarufi itakua inatokea hapo "Lubumbashi"Ewe nguli wa lugha hii ni sarufi ya wapi?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ewe nguli wa lugha hii ni sarufi ya wapi?
Wanapiga simu Afrika?Waswahili wanasema ukijua hili wenzio wanajua lile.
Kikundi cha kina mama kutoka Kongo kimesema enough is enough, wamesema sasa basi. Wakina mama hao wamechoshwa na taarifa za kila siku kutoka Marekani ambapo kila kukicha watu weusi wamekuwa wakiuliwa na hivyo kutishia kutoweka kwa kizazi cha watu weusi Marekani.
Wakinamama hao wamedai vijana weusi wa kimerakani ni watoto zao,ni kaka zao walioibiwa miaka mingi na hivyo jukumu la kuwalinda ni jukumu lao msingi kabisa.
Wakinamama hao wameamua kuchukua mambo mikononi mwao na kuanza kuwashughulikia askari wote wabaguzi.
Kwa kuanza waliita mizimu ya Kibembe mbele ya picha ya huyo askari huku wakilitaja jina lake mara kadhaa, wakimuombea mabalaa ya kila aina.
Baada tu ya maombi hayo jamaa alifukuzwa kazi ikfuatiwa na kufunguliwa mashtaka ya mauaji. Wakuu mpeni wiki tu huyu jamaa. Machozi ya hawa wakinamama hayaendi bure.
Finally watu wamejitolea kuwasaidia hawa vijana weusi wa Marekani.
View attachment 1463407
Mbona awakutumia hio mizimu kumroga mobutu.Waswahili wanasema ukijua hili wenzio wanajua lile.
Kikundi cha kina mama kutoka Kongo kimesema enough is enough, wamesema sasa basi. Wakina mama hao wamechoshwa na taarifa za kila siku kutoka Marekani ambapo kila kukicha watu weusi wamekuwa wakiuliwa na hivyo kutishia kutoweka kwa kizazi cha watu weusi Marekani.
Wakinamama hao wamedai vijana weusi wa kimerakani ni watoto zao,ni kaka zao walioibiwa miaka mingi na hivyo jukumu la kuwalinda ni jukumu lao msingi kabisa.
Wakinamama hao wameamua kuchukua mambo mikononi mwao na kuanza kuwashughulikia askari wote wabaguzi.
Kwa kuanza waliita mizimu ya Kibembe mbele ya picha ya huyo askari huku wakilitaja jina lake mara kadhaa, wakimuombea mabalaa ya kila aina.
Baada tu ya maombi hayo jamaa alifukuzwa kazi ikfuatiwa na kufunguliwa mashtaka ya mauaji. Wakuu mpeni wiki tu huyu jamaa. Machozi ya hawa wakinamama hayaendi bure.
Finally watu wamejitolea kuwasaidia hawa vijana weusi wa Marekani.
View attachment 1463407
Hayo ni Mambo ya backward societyUchawi hauendi kwa mentali.
Hao wamedandia meli, sheria ni lzm ufukuzwe kazi kwanza then unashtakiwa unafungwaWaswahili wanasema ukijua hili wenzio wanajua lile.
Kikundi cha kina mama kutoka Kongo kimesema enough is enough, wamesema sasa basi. Wakina mama hao wamechoshwa na taarifa za kila siku kutoka Marekani ambapo kila kukicha watu weusi wamekuwa wakiuliwa na hivyo kutishia kutoweka kwa kizazi cha watu weusi Marekani.
Wakinamama hao wamedai vijana weusi wa kimerakani ni watoto zao,ni kaka zao walioibiwa miaka mingi na hivyo jukumu la kuwalinda ni jukumu lao msingi kabisa.
Wakinamama hao wameamua kuchukua mambo mikononi mwao na kuanza kuwashughulikia askari wote wabaguzi.
Kwa kuanza waliita mizimu ya Kibembe mbele ya picha ya huyo askari huku wakilitaja jina lake mara kadhaa, wakimuombea mabalaa ya kila aina.
Baada tu ya maombi hayo jamaa alifukuzwa kazi ikfuatiwa na kufunguliwa mashtaka ya mauaji. Wakuu mpeni wiki tu huyu jamaa. Machozi ya hawa wakinamama hayaendi bure.
Finally watu wamejitolea kuwasaidia hawa vijana weusi wa Marekani.
View attachment 1463407
Uchawi haumpati asiye mchawi.Ni Hadi ubelieve ndo unathirika.Jifunze zaidi kuhusu powers of nature ili ujue uchawi unafanya vipi kazi
Si waafrika wale ni