Unamkuta mdada kajikoboa, make up, makucha bandia nywele bandia na Infinix yake

Unamkuta mdada kajikoboa, make up, makucha bandia nywele bandia na Infinix yake

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Unamkuta mdada kajikoboa ,make up, makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa, jasho mpaka unahisi kichefuchefu.

Mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?.

Wadada nauliza?
 
Unamkuta mdada kajikoboa ,make up,makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa ,jasho mpaka unahisi kichefuchefu,mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?,,,wadada nauliza?
Bila picha huu Uzi ni batili....
 
Unamkuta mdada kajikoboa ,make up,makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa ,jasho mpaka unahisi kichefuchefu,mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?,,,wadada nauliza?

WADADA BAADA YA KUONA HII THREAD
1679883039534.jpg
 
Unamkuta mdada kajikoboa ,make up, makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa, jasho mpaka unahisi kichefuchefu.

Mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?.

Wadada nauliza?
Wewe ni mjinga na mpumbavu sana. Na ndo maana kwa akili kama hizi bado unapanda daladala. Ungekuwa umefocus kwenye mambo yako na kutafuta hela hizi unazoziita kero usingezipata kwa kutembelea usafiri wako. Mjinga mkubwa wewe. Fata mambo yako afu tembea kwa mguu.
 
Kwa uandishi huu inaonekana wewe kichwani hamnazo. Kukalili ndo nini? Majitu mapumbavu kama wewe ni hasara na mzigo kwa taifa. Bora hao wanaonuka kwapa. Wewe umekaa kimasikini. Unanuka kimasikini. Na ukiendelea hivi watakuja kukubandua. Ngumbaru mkubwa wew

Kwa uandishi huu inaonekana wewe kichwani hamnazo. Kukalili ndo nini? Majitu mapumbavu kama wewe ni hasara na mzigo kwa taifa. Bora hao wanaonuka kwapa. Wewe umekaa kimasikini. Unanuka kimasikini. Na ukiendelea hivi watakuja kukubandua. Ngumbaru mkubwa wewe
ni sawa na kumcheka Mhaya kushindwa kuandika kizigua,focus on content we papai
 
Unamkuta mdada kajikoboa ,make up, makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa, jasho mpaka unahisi kichefuchefu.

Mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?.

Wadada nauliza?
kwaiyo wanaonuka kwapa na hawana mawigi, mikucha na infinix huu uzi auwahusu?
 
Back
Top Bottom