TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Bila picha huu Uzi ni batili....Unamkuta mdada kajikoboa ,make up,makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa ,jasho mpaka unahisi kichefuchefu,mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?,,,wadada nauliza?
Unamkuta mdada kajikoboa ,make up,makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa ,jasho mpaka unahisi kichefuchefu,mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?,,,wadada nauliza?
sasa picha inanuka?Bila picha huu Uzi ni batili....
mwanamke kunuka bladifakeniSipendi mdada anaye jikoboa mafuta, kabana nyewe kigauni, kipefymu
Hata anuke papuchi nitakuwa nae begakwabega
unajua kusoma na kuelewa au hata kiswahili uli fight for food?,,gri n badili il shati na va la jana,tuliza tumatako twako tusito na nyama hutošSasa kunuka kwapa panahusiana nini na kujikoboa na kucha bandia nk? Hebu na wewe ununue gari utupunguzie mbanano kwenye daladala.
Wewe ni mjinga na mpumbavu sana. Na ndo maana kwa akili kama hizi bado unapanda daladala. Ungekuwa umefocus kwenye mambo yako na kutafuta hela hizi unazoziita kero usingezipata kwa kutembelea usafiri wako. Mjinga mkubwa wewe. Fata mambo yako afu tembea kwa mguu.Unamkuta mdada kajikoboa ,make up, makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa, jasho mpaka unahisi kichefuchefu.
Mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?.
Wadada nauliza?
sasa unawezaje kununua mikorogo na kucha bandia afu ushindwe kulihudumia kwapa lako?Sasa kunuka kwapa panahusiana nini na kujikoboa na kucha bandia nk? Hebu na wewe ununue gari utupunguzie mbanano kwenye daladala.
Inanukiaš¤sasa picha inanuka?
kuna watu wana kichwa chenye ubongo kutimiza kusudi la uumbaji tu akili muda ni 56MBsasa unawezaje kununua mikorogo na kucha bandia afu ushindwe kulihudumia kwapa lako?
zingatieni maoni hayo. Ebooh
Kwa uandishi huu inaonekana wewe kichwani hamnazo. Kukalili ndo nini? Majitu mapumbavu kama wewe ni hasara na mzigo kwa taifa. Bora hao wanaonuka kwapa. Wewe umekaa kimasikini. Unanuka kimasikini. Na ukiendelea hivi watakuja kukubandua. Ngumbaru mkubwa wew
ni sawa na kumcheka Mhaya kushindwa kuandika kizigua,focus on content we papaiKwa uandishi huu inaonekana wewe kichwani hamnazo. Kukalili ndo nini? Majitu mapumbavu kama wewe ni hasara na mzigo kwa taifa. Bora hao wanaonuka kwapa. Wewe umekaa kimasikini. Unanuka kimasikini. Na ukiendelea hivi watakuja kukubandua. Ngumbaru mkubwa wewe
Endelea na huu ushambenga wako. Watakuja kukufanza. Kichwa maji wewe.ni sawa na kumcheka Mhaya kushindwa kuandika kizigua,focus on content we papai
Una michambo we dada ni watanga au pwaniSasa kunuka kwapa panahusiana nini na kujikoboa na kucha bandia nk? Hebu na wewe ununue gari utupunguzie mbanano kwenye daladala.
Wewe ni papai lililo iva,why hyper-reactive to justify the femine content,rainbowed?Endelea na huu ushambenga wako. Watakuja kukufanza. Kichwa maji wewe.
kwaiyo wanaonuka kwapa na hawana mawigi, mikucha na infinix huu uzi auwahusu?Unamkuta mdada kajikoboa ,make up, makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa, jasho mpaka unahisi kichefuchefu.
Mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate hardly,,eti ninyi wa dada mnafeli wapi,wakati deodorant buku 5 tu,spray mpaka za buku 2 zipo,,mnafeli wapi?.
Wadada nauliza?