Palmoni
JF-Expert Member
- Jun 13, 2024
- 1,968
- 3,760
😂😂😂Hapana Mkuuhahaha mkuu unapiga hizi mishe za games
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Hapana Mkuuhahaha mkuu unapiga hizi mishe za games
Walokole si ndio wanaoamini kuwa wataenda mbinguni.hahaha umenichekesha kwamba unaamini kila anaekufa anaenda mbinguni.
Ndiyo hivyo mkuuDuh sawa sekretarindege
Mi niliacha kuamini hizi dini tangu nilipokuwa mdogo kwa sababu watu niliokuwa nawaheshimu wanakinzana ktk maswala ya dini.haha dah ila imani ni imani mtu akishaamini kwishnei babuji, kuna wanaoamini ng'ombe ndio mungu kwao. Zote hizo ni imani kila mtu na lake.
Unaponda raha kwa nani sasa shetani achukui mtu kibudu aliyejiua na Mungu achukui kibudu.Marahaba hujambo...
Iko hivi mtu aliyekufa anakula bata Sasa hivi kuliko hata wewe ambaye unaishi so kumzuia asijiue ni kumzuia kuponda raha huko anakotaka kwenda.
Hii ndiyo kusema kumzuia mtu anayetaka kufa ni kumwonea wivu.
Najua hutanielewa Leo lakini ukikua utanisoma.
Bye bye 👋
Kabisa dini za watu hizi zina uongouongo mwingi na fitina, kikubwa amini Mungu yupo na tupunguze dhambi.Mi niliacha kuamini hizi dini tangu nilipokuwa mdogo kwa sababu watu niliokuwa nawaheshimu wanakinzana ktk maswala ya dini.
Sasa hivi najaribu kupunguza kufanya dhambi.
Habari za wakati huu wakuu.
Wakubwa shikamoo, madogo wozah niaje.
Kuna ongezeko kubwa la kesi za watu kujiua kwa mambo mbalimbali, hata huku kuna dogo alimaliza la 7 akakataa shule, wazazi wakaforce sana akagoma, siku hio mzee wake akadamka akampiga biti dogo kama nikirudi hujaenda shule uhame hapa, dogo akajiua.
Ukigundua mtu anataka kujiua unamsaidiaje wakuu maana tunapoteza ndugu,jamaa,na marafiki zetu huenda ushauri wenu ukaokoa maisha ya mtu one day.
Mimi sijui kama mtu akifa anaenda mbinguni au motoni. Naamini kufa ni sawa na usingizi, right?Unaponda raha kwa nani sasa shetani achukui mtu kibudu aliyejiua na Mungu achukui kibudu.
Unabakia katikati kusubiria hukumu tu
Umenena, ndo maana huwa nawashangaa viongozi wa dini wanapogoma kumzika mtu aliyekutwa kwenye kamba kwa madai kuwa amijinyonga hawajui kuwa mtu anaweza kunyongwa na mtu mwingine.Kabisa dini za watu hizi zina uongouongo mwingi na fitina, kikubwa amini Mungu yupo na tupunguze dhambi.
Ataanza kusema nilikuwa nafanya matani.😳 😳 shukrani wengine pia wamesema the same, ukimpa atashangaa sana na atahoji inamaana hunipendi kiasi hiko akili zitarudi.
Watu wanatupima Sana.hahahah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Noma sana[emoji23]
We ulishajinyonga ukayaona haya unayoyasema?Unaponda raha kwa nani sasa shetani achukui mtu kibudu aliyejiua na Mungu achukui kibudu.
Unabakia katikati kusubiria hukumu tu