Unamsaidiaje mtu anaetaka kujiua?

Unamsaidiaje mtu anaetaka kujiua?

Mtoa Uzi hebu eleza kwanza kwanini utake kumsaidia mtu anaetaka kujiua. Kwani kakuomba msaada wako? Vitu zingine ni kiherehere chako tu. Mind your own business
 
Mtoa Uzi hebu eleza kwanza kwanini utake kumsaidia mtu anaetaka kujiua. Kwani kakuomba msaada wako? Vitu zingine ni kiherehere chako tu. Mind your own business
Kama kila mtu atasema mind your own business, wengi wataendelea kuumia bila msaada. Kukubaliana na uovu wa kuona wenzako wanaumia huku unaweza kusaidia kwa namna moja ama nyingine sio sawa. Hio dhambi itakutafuna.
 
Maskini wajiue tu tubaki matajiri.. tena nataka niuze vitanzi kwa bei chee sana
 
Habari za wakati huu wakuu.

Wakubwa shikamoo, madogo wozah niaje.

Kuna ongezeko kubwa la kesi za watu kujiua kwa mambo mbalimbali, hata huku kuna dogo alimaliza la 7 akakataa shule, wazazi wakaforce sana akagoma, siku hio mzee wake akadamka akampiga biti dogo kama nikirudi hujaenda shule uhame hapa, dogo akajiua.

Ukigundua mtu anataka kujiua unamsaidiaje wakuu maana tunapoteza ndugu,jamaa,na marafiki zetu huenda ushauri wenu ukaokoa maisha ya mtu one day.

Kama ni kuhusu ndoa na ana watoto Ziaidi ya mmoja, mwache tu ajiue, inaweza Kuwa nafuu kwake
 
Back in then tukiwa watoto kuna jirani alikoroga sumu kwenye kikombe anataka kujiua baada ya ugomvi na mumewe. Mume kanyang'anya kikombe kisha faster kaja home kuomba msaada. Tukaenda, dingi yangu akamwambia mumewe hiyo sumu iko wapi ikaletwa pale, walidhani anataka ushahidi. Dingi kuchukua kikombe akwambia shika hiki kikombe umeze hii sumu yote mbele yetu. Victim akabaki kuomba tu samahani. It was so strange na siyo scientific, but it worked.
Sahihi, mzee alikuwa sahihi na aliokoa maisha ya huyo mwanamke, tena ukikuta mtu anataka kumeza dawa nyingi afe mwambie hizo chache nenda akaongezee zingine ufe haraka. Utakuwa umemwokoa, roho ya mauti haina masihara kabisa, usipojua namna ya kumsaidia mhanga anaondoka duniani.
 
Habari za wakati huu wakuu.

Wakubwa shikamoo, madogo wozah niaje.

Kuna ongezeko kubwa la kesi za watu kujiua kwa mambo mbalimbali, hata huku kuna dogo alimaliza la 7 akakataa shule, wazazi wakaforce sana akagoma, siku hio mzee wake akadamka akampiga biti dogo kama nikirudi hujaenda shule uhame hapa, dogo akajiua.

Ukigundua mtu anataka kujiua unamsaidiaje wakuu maana tunapoteza ndugu,jamaa,na marafiki zetu huenda ushauri wenu ukaokoa maisha ya mtu one day.

Kapigwa Pepo la kujiua huyo...Na kwenye familia wakishaanza kujiua basi wataendelea kujiua tu mwanzo mwisho mpaka pepo liwatoke.
 
mpeleke kwenye hifadhi ya ngorongoro akawe kitoweo cha simba. asife kizembe bila kufaidisha jamii
 
Maskini wajiue tu tubaki matajiri.. tena nataka niuze vitanzi kwa bei chee sana
kama ndugu yako, mwanao au mtu wa karibu ungeona anaonesha dalili za kutaka kujiua ungekubali iwe hivyo usingefanya chochote?
 
Marahaba hujambo...
Iko hivi mtu aliyekufa anakula bata Sasa hivi kuliko hata wewe ambaye unaishi so kumzuia asijiue ni kumzuia kuponda raha huko anakotaka kwenda.
Hii ndiyo kusema kumzuia mtu anayetaka kufa ni kumwonea wivu.
Najua hutanielewa Leo lakini ukikua utanisoma.

Bye bye 👋
Dogo Ana Wivu Na On To The Next One Ya Maisha Ya Wengine Anataka Kujifanya Mwokovu,,Atajitwika Misalaba Ya Wengine Imshinde Ulimwengu Na Walimwengu Wamsulubu.
 
Back
Top Bottom