Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Mimi nadhani ni msukumo tu wa kuiwaza familia yangu itaishije ndiyo ilininusuru hasa mwanangu ambae hakuwa na hata miezi mitatu kipindi hiko.sio wewe tu mkuu ni wengi hata me pia nikikumbuka nazilaani zile siku, bila kupata usaidizi ningepotea.