Mwana Dodoma
Member
- Aug 29, 2015
- 40
- 42
Anaweza hata kujifunza fani yoyote nyingine mtaani itakayomuingizia kipato, zipo shughulu ambazo zinachukuliwa poa sana mtaani, lakn zinaingiza kipato kinachoweza kufaa kujikimu. Siyo lazima kuangalia zaidi ajira inayohitaji elimu ya darasani.Mkuu kwa sasa nafasi za kujitolea ni kama kuomba kazi tu nazo mpaka connection
Kama fani zipi???Anaweza hata kujifunza fani yoyote nyingine mtaani itakayomuingizia kipato, zipo shughulu ambazo zinachukuliwa poa sana mtaani, lakn zinaingiza kipato kinachoweza kufaa kujikimu. Siyo lazima kuangalia zaidi ajira inayohitaji elimu ya darasani.
Kama hadi na hizo fani unahitaji tukuchagulie mzee baba... Bas endelea tu kuaa home kwanza. Ahh namaanisha aendelee kukaa home kwanza huyo jamaa. Mbona zipo nyingi tu, ni hizo shughuli unazoona semi skilled labour wanafanya.Kama fani zipi???
Wanaassume anayo [emoji3][emoji3]Asiuze Laptop kwani anayo hiyo laptop
Watu mnarahisha sana mambo...mtu umechoka nani anakuchangia hizo hela[emoji3]Ndio hio ni huko bush uko unaozeshwa yaan mke unapewa ni wazee wanaokuchakulia tu mke wanakuozesha na plot unapewa maana huko bush kuna maeneo makubwa tu hayafanyiwi chochote na wanyama wa kufuga yaan mifugo unapewa, anza maisha sasa sio huku town nani atakupa hivyo vyote?
Huku town Issue ni kutunga ndoa ya uongo na ukweli upate mtaji watu watachangishana michango ya huku na kule tembeza kadi za harusi door to door sasa ile michango michango ndio mtaji wako wa kuendeshea maisha hapo bado haujahesabu zawadi za hapa na pale utakazopewa na ndugu, jamaa na marafiki
Chukulia kadi moja mtu mmoja achangie 50,000/- wakiwa wawili wachangie 70,000/-
Wakichangia watu 100 tu
100×50,000 = 5,000,000
Hapo bado kuna wale wa kujitolea kulipia ukumbi na wakulipia misosi na kumlipa MC huku 5M bado inapumua
Hilo nimepiga kadrio la chini
Baada ya hapo songa mbele ushapewa mtaji tayari unasubiri nini? Au bado haujaisoma akili yako?
Nipo Karibu na viwanda flani min Ni 5000 ila mambo ya kichanganya Ni 2500O per day Ila niliacha baada ya kuona sio tu ngumu Bali unsafe watu kukatika vidole Ni kawaidaKuna namna jamaa una Manipulate Sana Data zako unapoandika kuhusu pesa, kiwandani mishe nyingi amount per day ni 5000 mpaka 10,000 maximum hiyo ndiyo 90% ya viwanda ukiona mtu anapata 25K kiwandani basi hiyo kazi anayofanya ukipewa unakimbia sikuhiyohiyo.
Kuhusu Tech hakuna niliposema huitaji mtaji soma Hints zangu kwa umakini sana ukishindwa kwenye Tech kwa kipengere Cha mtaji sahau kabisa kuhusu kujiajiri hii Dunia kwa kigezo cha mtaji...Tech ndio sehemu inayotoa nafasi kuanza na mtaji mdogo zaidi.
I second this MkuuKijana asie na ajira namshauri ajifunze new skills...skills zinazo husu technology hasa internet technology...baada ya mwaka Tu atapata ajira nono
Distilled water Ni pure water unaweza uza kiwandani kwenye maabala achana na hao watu wa saluni sijui mgahawa kwanza hayafai kwa chakulaMimi nilikuwa na wazo la kubadili maji ya chumvi kuwa fresh water. Maana eneo nililopo ni maji ya chumvi. Na washika dau wangu ni watu wa saluni na migahawa. Changamoto nataka kutumia distilation kama njia ya kufanya hvyo, ubaya wa hii njia inakula nishati sana na pia malighafi ya kuandaa kamtambo hako kdogo ni changamoto. Ila kwa hesabu za kawaida hukosi ya kula per day.
ss=sasainawezekan ikaw kwel ila kukaa mtu bila kufanya kazi pia inawezkn ikawa n dalili ya mtu kushindwa kufkria msaada wa mawaz ya biashar unaitajk zaid
Dah hali ya ajira ni ngumu mama.ila Mungu umpa mtu kwa wakat wake tuendelee kupambana.Nchi imejaa wasomi hawana nyuma wala mbele.
Wazazi wamechoka kununulia kifurushi,
Bahati ilimwendea mmoja tu Majaliwa,
Ajifunze kuogeleaNadhani kila moja wetu anafahmu kuwa hali ya maisha now imekuwa ngumu hususani kwenye swala zima la kipato na matumizi yapo juu sana. mpaka inapelekea maisha yanakuwa magumu sana, kila mtaa utakao pita utakuna na bodaboda.
Siyo kazi mbaya ila ndio kazi ambayo vijana wengi wanaweza kuifanya kupata ridhiki zao.
Sasa leo mchana nilikaa na ndugu yangu yeye kamaliza chuo lakini yupo tu mtaani, kaniuliza hivi kama nikikuomba ushauri nifanye kazi ili niingize kipato utanishauri nifanye kazi gani ghafla ghafla nimekosa jibu la kumpa.
Enyi wana jamiiforums naomba tushirikiane katika kutoa mawazo ya idea za biashara zenye uitaji wa mtaji wa kuanzia laki 1 na nusu hadi laki 3 ambazo zinaweza kuwasaidia hawa vijana wasio na ajira kuingiza kipato
Karibuni kwenye mjadala
🤣🤣🤣🤣🤣 atasubiri sana maeneo ya ziwani mpaka ziwa litakaukaAjifunze kuogelea
Ashinde maeneo ya maziwa...
Aombe neema kama ya majaliwa
Napita tu..asiombee ajali