1881Okoza
JF-Expert Member
- Oct 3, 2022
- 693
- 949
Ndio hio ni huko bush uko unaozeshwa yaan mke unapewa ni wazee wanaokuchakulia tu mke wanakuozesha na plot unapewa maana huko bush kuna maeneo makubwa tu hayafanyiwi chochote na wanyama wa kufuga yaan mifugo unapewa, anza maisha sasa sio huku town nani atakupa hivyo vyote?Kumbe unaozeshwa, unaoewa na vitu
Huku town Issue ni kutunga ndoa ya uongo na ukweli upate mtaji watu watachangishana michango ya huku na kule tembeza kadi za harusi door to door sasa ile michango michango ndio mtaji wako wa kuendeshea maisha hapo bado haujahesabu zawadi za hapa na pale utakazopewa na ndugu, jamaa na marafiki
Chukulia kadi moja mtu mmoja achangie 50,000/- wakiwa wawili wachangie 70,000/-
Wakichangia watu 100 tu
100×50,000 = 5,000,000
Hapo bado kuna wale wa kujitolea kulipia ukumbi na wakulipia misosi na kumlipa MC huku 5M bado inapumua
Hilo nimepiga kadrio la chini
Baada ya hapo songa mbele ushapewa mtaji tayari unasubiri nini? Au bado haujaisoma akili yako?