Unamshauri nini kijana asiye na ajira ambaye yupo tu mtaani?

Unamshauri nini kijana asiye na ajira ambaye yupo tu mtaani?

Asiolewe na kadegree kake ajifunze ujuzi mpya mimi nilijifunza kukaanga kitimoto,kukata ,kupima kwa magumashi kumpiga mteja changa la macho kwa mifupa mingi ni ujuzi ambao unatakiwa ujichanganye kweri kweri.Mbili nilijifunza kuchomelea nikapata na kamsaada kutoka kwa bimkubwa wangu.Na nilikua nakaa na mwanamke.Ila ujiandae kuchekwa na ndugu ,jamaa na marafiki.Skills zote hizo nilizipata kwa ada sawa na bureee.View attachment 2392327View attachment 2392328
Hongera boss 👏👏👏
 
Kaka umeichukulia simple sana

Kutengeneza page insta hadi ikubalike na watu kukupa matangazo ya maana sio process ya kuchukua miezi miwili unless uanzishe page inayoshabihiana na ngono au uchawa wa mastar

Pia twitter au linkedin hazipo overcrowded lakini bado unatakiwa kuwa na area of expertise ya kukufanya ukuze following kwa haraka kupitia niche flani (yaani kuongelea kitu specific kwa watu specific)..

Labda Facebook kwa sababu haiki bundle lakini napo itabidi auze vitu kupitia magroup.. Maana hapa nina watu nawajua hawana maduka Ila smartphones tu, wanapiga picha za bidhaa kariakoo na kuzisukuma kwenye groups za Facebook hata 20 per day na inawalipa.


Ulichoongea cha ukweli au kitu nilichoexperience binafsi, hivi vitu ukivianzia chuo ni rahisi zaidi maana muda upo na hakuna presha wala expectations za nje. Ila kumshauri mtu kuhusu social media kwa sasa ambapo hata kuweka mb 500 per day ni mtihani , kazi ipo

CONTROLA njoo kitaa hiki.. Uwepo wako unahitajika brother
eb naomba elimu kdg kuhus kutngneza account ya IG ambay itanlipa
 
Muwage na huruma aisee !!Kumbuka huyu dogo kamaliza chuo,anamatarajio makubwa .So anaporudi home mnataka awe mshona viatu au mchoma mahindi? Ni kumuumiza.Fikiri jamaa ambaye alimwacha la 7 ,ana bajaji yake.Then dogo na degree yake awe mchoma mahindi kweli?

Mimi nafikiri wazazi na walezi wa vijana walio maliza vyuo ndo mna matatizo makubwa.
matatizo km yapi mkuu
 
eb naomba elimu kdg kuhus kutngneza account ya IG ambay itanlipa
Kaka mimi huko sio angle zangu na ni ngumu kukushauri kama hauna kitu unachokifanya 😁😁😁

Lakini knowledge general ya social media

Instagram wengi ni watu wa mijini, city life, kuvaa kupendeza. Kwa hiyo kama unataka kuanzisha page ya biashara bhasi cheza na vitu kama hivyo

Zile nguo, accessories, bags, mikufu, saa

Ubaya wa insta kuikuza bila kuifanyia paid ads yani matangazo ya kulipia ni mtihani

Ila kama ni Facebook, deal na magroup. Marafiki zangu baadhi walinambia, kutumia Facebook groups zile unakuta za kuuza na kununua, una uhakika wa kupata wateja kuliko insta

Cha msingi tu lugha iwe nzuri,

onesha bei, mambo ya bei inbox huwa yanawakata wengi,

picha ziwe halisi maana mapicha ya kudownload online hayaaminiki watu watakuona mzushi

Na kadhalika
 
Kaka mimi huko sio angle zangu na ni ngumu kukushauri kama hauna kitu unachokifanya 😁😁😁

Lakini knowledge general ya social media

Instagram wengi ni watu wa mijini, city life, kuvaa kupendeza. Kwa hiyo kama unataka kuanzisha page ya biashara bhasi cheza na vitu kama hivyo

Zile nguo, accessories, bags, mikufu, saa

Ubaya wa insta kuikuza bila kuifanyia paid ads yani matangazo ya kulipia ni mtihani

Ila kama ni Facebook, deal na magroup. Marafiki zangu baadhi walinambia, kutumia Facebook groups zile unakuta za kuuza na kununua, una uhakika wa kupata wateja kuliko insta

Cha msingi tu lugha iwe nzuri,

onesha bei mambo ya bei inbox huwa yanawakata wengi,

picha ziwe halisi maana mapicha ya kudownload online hayaaminiki watu watakuona mzushi

Na kadhalika
shukran sana mkuu kwa elimu
 
Master mtiti wake ulikuwa sio wa kitoto ni kukomaa na kuswallow your pride.
😁😁 master ukaiweka bachelor pembeni , safi sana maana kibongobongo tunaelewa ajira tu, vingine hamna kitu zaidi ya watu kukuona unaunga unga
 
Inategemean na alichosomea, interests, skills alizonazo na eneo alilopo

Ila generally, Asiuze laptop lakini pia ajichanganye kwenye conferences za vijana za tech,
Kama ana simu bhasi aingie twitter na linkedin na aingie serious kujifunza kwa vijana wenzie

Akijichimbia serious hawezi kukosa kitu cha kufanya japo hii tech industry nayo hadi upate watu wa kukulipa vizuri.. Lazma usote
Asiuze Laptop kwani anayo hiyo laptop
 
Akisha OA akili itamkaa tu atajua cha kumlisha, umjini umetuharibia vijana kijijini ukimaliza shule tu unaozeshwa unapewa na kaplot na tumbuzi tung'ombe maisha yanaanzia hapo
Kumbe unaozeshwa, unaoewa na vitu
 
Back
Top Bottom