Unamshauri nini kijana huyu wa zaidi ya zaidi ya miaka 40, ambaye hajaoa, hana mtoto wala ajira mpaka sasa anakaribia kutokua na sifa za kuajiriwa?

40 ni mtu mzima huyo, ameshatoka kwenye ujana... Na umri huo ndio umri ambao wanaume wengi wanachanganyikiwa wasipokua vizuri.

Daah! pagumu hapo, ila kama mentality yuko fit anauwezo wa kufanya jambo maana ukiangalia watu wengi waliofanikiwa wengi wao walifanikiwa wakiwa kwenye umri huo ingawa wengi walianza kujitafuta mapema na hapo ndio wakajipata, ila kwa yeye ambae hajawahi kuanza chochote inabidi aanze chochote tu kwanza😅😅😅
 
Akae mbali na Ccm na asiwe chawa Kama kaka yake mwenye 50+ Ila analipwa 7K Kwa uchawa
Gentleman,
ndio maana haijulikani JF utaacha nini ile safari yako uliyoitangaza kwenye uzi Fulani ikiwadia kama mambo yenyewe ndiyo haya dah!🐒
 
Miaka 40 Bado kijana.mini Nina miaka 50 na Bado najiona ni kijana
umetisha sana gentleman 👊💪

unamhauri nini huyu ambae anazurura na kujificha ficha tu mjini na hana mbele wala nyuma?🐒
 
That's true
 
Huwa sijui kwanini watu wanaogopa kuitwa wazee,uzee ni sifa kubwa sana basi watu hawajui tu

BInafsi nafurahia uzee nilinao,na hizi mvi kichwani kwangu yani shikamoo kama zote
Uwa ni woga tu wa baadhi ya watu,ndo hawa kila mwaka hushusha umri wao huko serikalini,eti ili waendelee kula bata,!!,wakati kimwonekano unaona kabisa njema ishazeeka!!
 
Uwa ni woga tu wa baadhi ya watu,ndo hawa kila mwaka hushusha umri wao huko serikalini,eti ili waendelee kula bata,!!,wakati kimwonekano unaona kabisa njema ishazeeka!!
Ni upuuzi tu ujue,kuna watu nawajua kazi yao ni kuweka super black daily ili waonekane vijana,hauwezi kusimamisha asili,utuu uzima utaonekana tu

Hawa ni watu ambao hawataki kukubali ukweli kuwa umri daima unaenda mbele na haurudi nyuma
 
Tuanze nakuwaambia 40 sio kijana tena ni umri wa kufikiria kustaafu kwa hiarii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…