Thecoder
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,590
- 4,244
40 ni mtu mzima huyo, ameshatoka kwenye ujana... Na umri huo ndio umri ambao wanaume wengi wanachanganyikiwa wasipokua vizuri.
Daah! pagumu hapo, ila kama mentality yuko fit anauwezo wa kufanya jambo maana ukiangalia watu wengi waliofanikiwa wengi wao walifanikiwa wakiwa kwenye umri huo ingawa wengi walianza kujitafuta mapema na hapo ndio wakajipata, ila kwa yeye ambae hajawahi kuanza chochote inabidi aanze chochote tu kwanza😅😅😅
Daah! pagumu hapo, ila kama mentality yuko fit anauwezo wa kufanya jambo maana ukiangalia watu wengi waliofanikiwa wengi wao walifanikiwa wakiwa kwenye umri huo ingawa wengi walianza kujitafuta mapema na hapo ndio wakajipata, ila kwa yeye ambae hajawahi kuanza chochote inabidi aanze chochote tu kwanza😅😅😅