Kwa kweri sijaelewa kabisa jamaa alichokiandika, atleast kwenye link aliyopost ndo nimeelewa. Next time tulia unapoandika kitu kwa jamii ili tuweze kuelewa.
Ndugu zangu mwenetu NyegereBOY katuletea mchongo hapa jukwaani.
Ili kuondoa wasiwasi wa kutapeliwa mliopo DAR jitahidi by J3 muende makao makuu ya YAS pale Kijitonyama mkaulize juu ya huu mchongo.