🤣🤣🤣🤣🤣Blaza alijiweka nyuma nyuma kama spear tyre tatizo 😀
Sema safi salama, utanipa mdogo wako mwengine ila sio Clepatina. Yule bado mchanga kwenye game🤣🤣🤣🤣🤣
Si unajua biashara ni asubuhi, wacha nitafte jimbo jingine.Bora umemuelesha maana vijana wa siku hizi wako speed kwenye Mali za kaka zao😀
😂😂😂Mganga wetu konk hapo ndo tupo siku ya pili tukifika ya kumi😀😀😀watakuwa wengi zaidi mafusho oyee😀@Aaliyaah Naona mafusho yameanza kufanya kazii🤭💃🥰🥰!!!
😂😂😂Mganga wangu konk hapo ndo tupo siku ya pili tukifika ya kumi😀😀😀watakuwa wengi zaidi mafusho oyee😀
Mbona unacheka?😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Acha kabisa hali ni tete eti 😁!Ina maana soko limekuwa gumu kiasi kwamba mnatumia hadi mzizioloji
😂😂😂😂😭😭😭Mbona unacheka?
Chizi wewe 🤣🤣😂😂😂😂😭😭😭
Hahaha !Chizi wewe [emoji1787][emoji1787]
Lakin sis si hata mie nilikwambia ninae shem wako hukuraka kunisikiliza au kwa vile hayuko jf kunipambania😂
Huu mvurugana umeusababisha wewe sisy im sorry😂
Basi na mie niache na mlamba lips wangu😂.🤣🤣🤣🤣🤣Daaah,huna huruma Unataka nimsabishie mstaafu wangu kiharusi!?hebu tuache we mtoto
Usijali shemela wangu wa ukweliHem niache nile maisha na kigoli wangu @Joannah😁
Piga chiniBasi na mie niache na mlamba lips wangu😂.
Hili pia ni jangaTatizo humu kuna wanaume wana ID za kike, unaweza kupandishana naye mzuka na inbox kama zote kumbe ni dume jameni...