Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Kupenda ni hisia we nae, siyo moyo... Any way popote alipo @mamdenyi
 
Umenisababishia shida. Mademu wamemiminika PM kwangu wakitaka mahusiano nami. Msiwe mnaandika thread kama hizi mnatupa shida sisi watu watulivu... Leo nimekuwa busy kila mtu anataka anipate
 
Khakhakhaaaa.... achana naoo haoo watrajejoooooooooo 🀭
uzuri kila mmoja anapambana nashida zake hakuna anaejaree wala neneee..😁🀭!
Hapo pa kujiachia hakika unawabambaa kinoumaaaah! Wanaume wanapenda mwanamke anayejiachiaaa
Watakatifu nimewaacha na utakatifu wao....mi mdhambi I live my life
😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…