National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Una force kingi tu mkuu, mtaje hata @mamdenyiInakuwaje watu wana nyota kiasi wanatajwa kabisa?😪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una force kingi tu mkuu, mtaje hata @mamdenyiInakuwaje watu wana nyota kiasi wanatajwa kabisa?😪
Kupenda ni hisia we nae, siyo moyo... Any way popote alipo @mamdenyiKama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.
Ha ha ha....[emoji38]Nkitajwa natoa hela[emoji23]
Umenisababishia shida. Mademu wamemiminika PM kwangu wakitaka mahusiano nami. Msiwe mnaandika thread kama hizi mnatupa shida sisi watu watulivu... Leo nimekuwa busy kila mtu anataka anipateKama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.
Mimi nilitaka nikutaje Ila nikajua utasema umezeeka🤣Inakuwaje watu wana nyota kiasi wanatajwa kabisa?😪
Weee sema kweli😋Mdai dola mia mbili,ametangaza Mwanzoni atayrmemtaja atakula 200USD
Nainjoy sanaKumbe unaenjoy Sana shemeji!
Hahahaha, umepatia mkuu. Natafuta mzee mwenzangu tu!!Una force kingi tu mkuu, mtaje hata @mamdenyi
Hakika una bahatiNainjoy sana
Watakatifu nimewaacha na utakatifu wao....mi mdhambi I live my lifeKhakhakhaaaa.... achana naoo haoo watrajejoooooooooo 🤭
uzuri kila mmoja anapambana nashida zake hakuna anaejaree wala neneee..😁🤭!
Hapo pa kujiachia hakika unawabambaa kinoumaaaah! Wanaume wanapenda mwanamke anayejiachiaaa
Yaàni atume na ya kutolea
😂😂😁😁!!Ina maana mimi hamna anayenitaka? Sijui nafeli wapi ila najua mdomo na kimbelembele ndio vinaniponza[emoji17]
Leo mapemaaa sweeet nime kumiss tayari nipo njianiWatakatifu nimewaacha na utakatifu wao....mi mdhambi I live my life
😁😁
😂😂😂😂 TeAmoNitakunyonga wewee 😬😬😬😬 usithubutuuu kukitoa
Haha, nitaje tu kwa kweli. Kwani uzee shingapi mama.[emoji28][emoji28][emoji28]Mimi nilitaka nikutaje Ila nikajua utasema umezeeka[emoji1787]
Ina maana mimi hamna anayenitaka? Sijui nafeli wapi ila najua mdomo na kimbelembele ndio vinaniponza[emoji17]
Ya kutolea muhimuYaàni atume na ya kutolea
Ndriiiooo ndrrriiioooo! That's ma sweet madamee!! Santo sanaa!!Watakatifu nimewaacha na utakatifu wao....mi mdhambi I live my life
😁😁
Nashangaa unapenda kujizeeesha Ng'ombe hazaeeki maini....ndio tayari ushatajwaHaha, nitaje tu kwa kweli. Kwani uzee shingapi mama.[emoji28][emoji28][emoji28]
Wote waliokuja PM wachukue 😀😀😀Umenisababishia shida. Mademu wamemiminika PM kwangu wakitaka mahusiano nami. Msiwe mnaandika thread kama hizi mnatupa shida sisi watu watulivu... Leo nimekuwa busy kila mtu anataka anipate