Divah tz
Member
- Apr 26, 2023
- 41
- 85
[emoji23][emoji23]Umoumo[emoji23] Naona unaenda na flow
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Umoumo[emoji23] Naona unaenda na flow
Fanya ya upendo and always aim to be happy&positive.Ila wewe sijui nikufanyie nini,huna wivu huna chuki....umesimama kiume kweli
Ha ha ha....huwa nataman sn nimuone anafananaje, maandiko yake huwa najhs Kama namuona live[emoji4]yuko sexually aggressive kinyama, baadhi ya andiko zake hua nazitumia na abdu nondo
Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.
niseme tu ukweli, nishamlala virtually mara kibao sana aiseeHa ha ha....huwa nataman sn nimuone anafananaje, maandiko yake huwa najhs Kama namuona live[emoji4]
Yeah,hakika hakukosekaniFanya ya upendo and always aim to be happy&positive.
Chuki huua furaha ya ndani maisha yenyewe haya mafupi ni vizuri kufanya ya furaha japo kukarahishwa hakukosekani.
Mwamba unachukua point tatu sio,Fanya ya upendo and always aim to be happy&positive.
Chuki huua furaha ya ndani maisha yenyewe haya mafupi ni vizuri kufanya ya furaha japo kukarahishwa hakukosekani.
Namsubiri tu atume nianze kumbebishaAccount yake unayo wewe. Wakimtag unapata notifications. Mtie "Ignore" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna vijana hawana adabu humuNaona kuna mjinga hapo kamtag wife.
Wewe mbona umekuja pekee yako
ATawachapa wengine ila kwangu no 😂Mwamba unachukua point tatu sio,
Teacher anachapa viboko huyo
Namtaka AmehloMnaitwa huku
Huwezi elewa hata nikwambieje.Ana nini huyo cha kumfanya aliwe bila kachumbali?
😂Naona kuna mjinga hapo kamtag wife.
Ndio hvyo mama 😘😘😘Yeah,hakika hakukosekani
Kabla hata hujasema lolote nilikwisha kukueleza bhana, 😜Huwezi elewa hata nikwambieje.