Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Laz
Lazima atakuwa chaupepo🤣Utakufa Wewe, BMI yako hairuhusu[emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima atakuwa chaupepo🤣Utakufa Wewe, BMI yako hairuhusu[emoji1]
Ha ha ha........wee wasema[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Laz
Lazima atakuwa chaupepo[emoji1787]
To yeye atadhibitisha!🤣🤣🤣Ha ha ha........wee wasema[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe mbona umekuja pekee yakoMje wote mtakane upya
Nimesogeza kiti tusome wote!Nasoma comment 😃😃
FaizaFoxy ili nimbatize Kwa maji mengi maana kazidi ubishiKama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.
🙃 Anataka watu wazimaHuyu Dogo anataka akakimbie kwa bedroom😝
Karibu sana, jimbo lipo waziNimefunga mjadala
Tuliza kiherehere basi. Ungetaka kunitaja ungetaja tu direct. Au kama unataka kutajwa sema.Wala sikutaji
Kwani unataka nikutaje😂😂😂
Unazunguka zungukaaaa
Ndio maana nimekuja yaani unanikosha sana bibieKaribu sana, jimbo lipo wazi
Tunakupenda piaNdo ivo ndo maana wote nawapenda tu
Namtaka .......Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.
Makubwa....maana....madogo....Yana nafuuuu....😆😆Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.
Ila wewe sijui nikufanyie nini,huna wivu huna chuki....umesimama kiume kweliTunakupenda pia