Divah tz
Member
- Apr 26, 2023
- 41
- 85
Kelphin[emoji85]Nkitajwa natoa hela[emoji23]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kelphin[emoji85]Nkitajwa natoa hela[emoji23]
Kwakweli naenjoy sana[emoji4]Humu burudani Mkuu,enjoy yourself[emoji8]
😂😂😂Kwamba hakuna atakayenitaja?
Si unitaje hata wewe sasa? Au una my wako?
Ms eyeNgoja nione kama wangu atatajwa😪😂
NaamKuna mmoja alijiona Keki kisa tu nilionyesha kumjali, nami nikaamua kumpotezea mazima,hakujua kua kapishana na Gari la mishahara,
Life is too short usiwe slaves wa mapenzi kupita kiasi.
😎😎
Mimi nasubiria nitajwe. Kama unataka kunitaja usijishtukie. Wewe nitaje tu. Hakuna wa kunitaja.😂😂😂
Huna ndio kama yupo mtaje wewe
Mama J tumfanyaje ili mie nawe Leo tuungane😒?Kwakweli naenjoy sana[emoji4]
Wala sikutajiMimi nasubiria nitajwe. Kama unataka kunitaja usijishtukie. Wewe nitaje tu. Hakuna wa kunitaja.
😂😂🙌Sh ngapi we?😳
😂 Nitaumia moyo sana ila mpaka muda huu Naona hajatajwa, ngoja nivute subira😂🙌Ili ukamlilie 😂
Onhoo
😂 Nimeona jina lako likipepeyaaa😇😇😍Onhooo😝
Awwww😇Ms eye
Huyu Dogo anataka akakimbie kwa bedroom😝😂 Nimeona jina lako likipepeyaaa😇😇😍
Nimefunga mjadalaAwwww😇
Utakufa Wewe, BMI yako hairuhusu[emoji1]Mashangazi wote ninayatamani
Basi Nimekoma Mimi🤣😂😂😂huyo nampenda usimvuruge wala kumchanganya
I swear 😂Unasema kweli?? Haha
Ngoja ninyamaze!I swear 😂