Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Ngoja aje Carleen nione comment yake.
😆
Na mimi ningemtaja The ice breaker ila naogopa. ☺️
Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu; kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue; inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia; pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka.
Kumbe bwana rafiki yangu una jambo lako. Haya ngoja tumkomalie wifi Madame S Atusababishie jambo.
msimamo uleule, usinitoe kwenye mstariKumbe bwana rafiki yangu una jambo lako. Haya ngoja tumkomalie wifi Madame S Atusababishie jambo.
Kuna mmoja alijiona Keki kisa tu nilionyesha kumjali, nami nikaamua kumpotezea mazima,hakujua kua kapishana na Gari la mishahara,
Life is too short usiwe slaves wa mapenzi kupita kiasi.
[emoji41][emoji41]
🤭Kwanini uisimamishe?
😆
[emoji2960]
Nitamtaja mtu ambaye dunia haijamtegemea,
Ahsante.
Acha zako wewe! 😂msimamo uleule, usinitoe kwenye mstari
eid yangu iko wapi ?Acha zako wewe! 😂