binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Wewe tu ndio unajikwamisha!!!!!eid yangu iko wapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tu ndio unajikwamisha!!!!!eid yangu iko wapi ?
😬Wewe tu ndio unajikwamisha!!!!!
Wengine hatumjui hebu mtaje apewe heshima yakeWa kwangu anajulikana; haya kazi kwenu, tiririka
Dizaini hizo wanakuwaga "binti maringo"🤭Mbona ghafla sana? 🤔
kelphin ....tuma kwa namba hiiNkitajwa natoa hela😂
Kama mawazo yako yamekutuma na kuona kua mimi ndio naumia,basi sawa,siwezi kukupangia cha kufikiri but ukweli naujua mwenyewe.Kijembe cha wazi wazi
Ila mbona kama wewe ndio unaumia mkuu?
Ndo ivo ndo maana wote nawapenda tuYamekua hayo????
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wee jamaa bakari ndono atakuaa
Ana nini huyo cha kumfanya aliwe bila kachumbali?Huyu unamla bila kachumbari 😋😋
Hata mie wanipenda ?Ndo ivo ndo maana wote nawapenda tu
Ha ha ha....wee mdada huwa unanichekesha sn na hizo comment zako[emoji1787]Miaka kitu gani kwani? Ukuni upo au haupo? Tuanzie hapo kwanza[emoji39]
Kwamba hakuna atakayenitaja?[emoji23][emoji23][emoji23]
Utasubiri sana
Ili ukamlilie 😂Ngoja nione kama wangu atatajwa😪😂
Humu burudani Mkuu,enjoy yourself😘Ha ha ha....wee mdada huwa unanichekesha sn na hizo comment zako[emoji1787]
Onhooo😝Ngoja nione kama wangu atatajwa😪😂
Unasema kweli?? HahaKama yupo wa hivi akuje namuita View attachment 2600309