Anadhani siku ya muungano inasherehekewa kwa siku mbili, kama Idi mosi na idi pili 😅😅Kanaonekana hakapendi kusoma haka kadenti🤣
Haiwezekani ashinde Jf na anatakiwa awe kitandani saivi akijiandaa na mchakamchaka wa shule kesho
Inabidi ujipende mwenyewe sasaNobody loves me😪
Mapenzi ni ugonjwa wa akili mkuu.... Nimejikuta tu nimempenda huyo binti.... Mungu wangu[emoji23]mkuu nenda taratibu utapata heart attack [emoji23]
Wote si wanahitaji maraha?Mwenye shida ndio amPM mwenzake😅
Aliyemzimikia mwenzake ndio aongoze njiaWote si wanahitaji maraha?
Ndoto mfu hiyo; nimeoa, nina wake saba mkuu 😀 😀 😀
nisuburie bado mwaka tu nimalize shule 😂 ntakupa kila kitu mamii....😂Huyo dogo anapenda slope, si anaskiaga story za mashangazi kutunza viben10.
Naomba kukutaja Analyse 🥰
Atakayejitokeza mwingine ni batili
Mi mhaya.....Ebu shusha mistari waweze kusikia
Huyo kwa avatar ni wewe 😃😃Ndio tena tukajenge mji wetu kama Dubai🤩
Soon hunie ❤️😋😍tunaanza lini sasa.....
Acha kumtesa mtoto wa mama mkwe?Equation x atakuja kwa niaba yangu kusikiliza na kuwasilisha hoja
Once there are mutual understanding he will let me know
relax mamii..... 😂 ntakuja piemu baadae tuyajenge vizuri😂Soon hunie ❤️😋😍
Mashallah 😍😍.Huyo dogo anapenda slope, si anaskiaga story za mashangazi kutunza viben10.
Naomba kukutaja Analyse 🥰
Atakayejitokeza mwingine ni batili
Bado uende form 5&6, hatujui kama utafauli au la.nisuburie bado mwaka tu nimalize shule 😂 ntakupa kila kitu mamii....😂