Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Na navyopenda mastory, awee mbona kama nashawishika😋Outthere utakua unapigiwa story mpaka unasinzia 😃😃😃
I. come in peace
Sa itakuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na navyopenda mastory, awee mbona kama nashawishika😋Outthere utakua unapigiwa story mpaka unasinzia 😃😃😃
I. come in peace
Popote pale alipo, ajitokeze
Sitoruhusu awe bored Yani 😅😅Outthere utakua unapigiwa story mpaka unasinzia 😃😃😃
I. come in peace
Sasa itakuwaje? 🤔🤔Na navyopenda mastory, awee mbona kama nashawishika😋
Sa itakuaje
Nitajeee, maana bado hajaja kwetu kutoa mahari so bado niko available😌Eti ni kweli siruhusiwi kukutaja?. Kuna mtu anataka kunipiga pin 😅
Hakuna unyonge. Nikizubaa ntakuta manyoya 😅😅😅Hamna kukaa kinyonge 🤣
Si ndio😂Hakuna unyonge. Nikizubaa ntakuta manyoya 😅😅😅
shangazis for life 😂
kabisa mzee😂Hakuna unyonge. Nikizubaa ntakuta manyoya 😅😅😅
😃😃😃😃 Equation x hivi mwanamke ndo anaanzaga ku PM mtu kweli??Okay ni pm dakika zero then uendelee na mambo yako..... Mind you mi ni best entertainer niko na UESA Award[emoji23].... Nakusubiri., Chukulia seriously huenda ukabadilisha maisha yangu usiku wa leo japo kwa sekunde chache.
Ariririririririiiii💃💃💃Naahidi kukulinda,kukutunza,kukuheshimu mboni ya jicho langu na mama wa wanangu...
Yule anayejua kuhudumia vizuri, apewe kipaumbeleDaah wapo wawili hapa sasa sijui namtaja nani walahi.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Pm yako imefungwa[emoji3064][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Equation x hivi mwanamke ndo anaanzaga ku PM mtu kweli??
mkuu nenda taratibu utapata heart attack 😂Pm yako imefungwa[emoji3064]
Hahahahaha nishaolewa hapa nalea muunganikoUnganeni basi, leo ni siku ya muungano
Mwenye shida ndio amPM mwenzake😅😃😃😃😃 Equation x hivi mwanamke ndo anaanzaga ku PM mtu kweli??