Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Huyo dada ana shape lakini? Pesa tutachanga ila awe na shape na sura nzuri.... Naloli kyala ali namaka.Unashangaa Chizi Maarifa anakutaja kuwa anakuzimikia sababu ya mtonyo huo😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo dada ana shape lakini? Pesa tutachanga ila awe na shape na sura nzuri.... Naloli kyala ali namaka.Unashangaa Chizi Maarifa anakutaja kuwa anakuzimikia sababu ya mtonyo huo😂
Ww ndio unachukulia as entertainment. Ila mwenzio yupo seriousMkuu nawe watu huku ni entertainer
Usiwachukulie serious,, enjoy your time usiwe stressed
Ndio kaka, kila mtu analinda cha kwakeWaliosema mapenzi yanaua, hawakukosea
Unganeni basi, leo ni siku ya muunganoUna umri Gani?
Unataka mshangazi haaahaha
Tatzo ametajwa sna km vp mi naenda kumtajia peke yake huko mafichoniEbu wewe mtaje, anayetesa moyo wako?
Wewe umekuja huku umemaliza hadithi yako? 😡nakuuliza siyo unakodoa mimacho tu hapa. Umemaliza? Haya nenda kamalizie. Wananchi wanalalamika sana wewe umeshakuja huku kuyaanzisha mengine. Fanya haraka.Ngoja aje hapa,nione kama anapingamizi la Mimi kumtaja. Lenie ukuje tafadhali 😊😊
Thank you and 🥰 too Mbabanifinancial services [emoji119][emoji173]
Mbembeleze asije akajinyongaMkuu nawe watu huku ni entertainer
Usiwachukulie serious,, enjoy your time usiwe stressed
Sana... Na anasahau mimi ni shemeji yake bila mimi kumuoa dada yake jamaa angekuwa Kamsamba huko analima mpunga....Umemkosea sana Chizi Maarifa muombe msamaha[emoji23][emoji23][emoji23]
Story ilishaisha kitambo, na wadau wameshasahau tayari. Nenda kamalizie, kama hujafika mwisho.😅😅😅Wewe umekuja huku umemaliza hadithi yako? 😡nakuuliza siyo unakodoa mimacho tu hapa. Umemaliza? Haya nenda kamalizie. Wananchi wanalalamika sana wewe umeshakuja huku kuyaanzisha mengine. Fanya haraka.
Mkuu sijaona ukimtaja au umetajwa na nan 😃😃Waganga wote hapa Tz?. Nampiga mtu kipapai 😅😅
Hamna kukaa kinyonge 🤣Waganga wote hapa Tz?. Nampiga mtu kipapai 😅😅
Okay ni pm dakika zero then uendelee na mambo yako..... Mind you mi ni best entertainer niko na UESA Award[emoji23].... Nakusubiri., Chukulia seriously huenda ukabadilisha maisha yangu usiku wa leo japo kwa sekunde chache.Mkuu nawe watu huku ni entertainer
Usiwachukulie serious,, enjoy your time usiwe stressed
Outthere utakua unapigiwa story mpaka unasinzia 😃😃😃Abee😂😂
Eti ni kweli siruhusiwi kukutaja?. Kuna mtu anataka kunipiga pin 😅Abee😂😂
Bila bila aisee. Hata niliyetegemea anitaje, kamtaja mtu mwingine.Mkuu sijaona ukimtaja au umetajwa na nan 😃😃