Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Ngoja aje hapa,nione kama anapingamizi la Mimi kumtaja. Lenie ukuje tafadhali 😊😊
Wewe umekuja huku umemaliza hadithi yako? 😡nakuuliza siyo unakodoa mimacho tu hapa. Umemaliza? Haya nenda kamalizie. Wananchi wanalalamika sana wewe umeshakuja huku kuyaanzisha mengine. Fanya haraka.
 
Wewe umekuja huku umemaliza hadithi yako? 😡nakuuliza siyo unakodoa mimacho tu hapa. Umemaliza? Haya nenda kamalizie. Wananchi wanalalamika sana wewe umeshakuja huku kuyaanzisha mengine. Fanya haraka.
Story ilishaisha kitambo, na wadau wameshasahau tayari. Nenda kamalizie, kama hujafika mwisho.😅😅😅

Sema waambie mods waache kufuta baadhi ya portions. Story inabidi ibaki kamili
 
Back
Top Bottom