mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
an alpha male ushindani wako huu hapa😂
Kazi ndogo hiyo, leta barua ya posa nipeleke@Equation x kaka nisaidie nimemuelewa mtoto
🤣🤣 Atakayenitaja mwambie mod ampige ban tu, hamna namnaMashallah 😍😍.
Kopi iende kwa dokta g na mshamba_hachekwi
Na ntaanza kufatilia nani atakutaja au kukuzengea zengea 😊
Hapana si wewe umenisaliti kwa bae wako.Kumbe ulikua una target zako nyingine huko, ulitaka kutupanga
Kwa sasa pata maji ya dhahabu kwanzaMapenzi ni ugonjwa wa akili mkuu.... Nimejikuta tu nimempenda huyo binti.... Mungu wangu[emoji23]
Ndio, je kwani?Huyo kwa avatar ni wewe 😃😃
Kwahyo ndio ukahamia kwa bebe mpya mara hii, hata hujasubiri uthibitishe ukweli.Hapana si wewe umenisaliti kwa bae wako.
Umechekewa jamvini karamu imeshaliwa, miaka 42 iliyopita.
Khaa umekuwa mfalme mswati[emoji23][emoji23]Ndoto mfu hiyo; nimeoa, nina wake saba mkuu 😀 😀 😀
Sio ban tu, namwambia Melo amfukuze kabisa humu JF 😅😅🤣🤣 Atakayenitaja mwambie mod ampige ban tu, hamna namna
💔Bado uende form 5&6, hatujui kama utafauli au la.
Hadi uje upate maisha dogo sio leo
Ebu mpelekee debe la mahindinisuburie bado mwaka tu nimalize shule 😂 ntakupa kila kitu mamii....😂
Kweli maana atakua hana faida, kwanini ataje mtu wa mtu?Sio ban tu, namwambia Melo amfukuze kabisa humu JF 😅😅
Ukianza kutumia wembe, utajuaMe bado mtoto ngoja nikojoe nikalale sijuwi mnaongelea nini tu!
Hivi kuna watu bado wanatumia wembe karne hii🤣🤣Ukianza kutumia wembe, utajua
To yeye anakismat chake jamnNikimpata To yeye tukaliwazana sio mbaya.
Dah masikhara hivi hivi mtu anapata mental disorder kwasababu ya mapenzi., Inauma kinom a kumkosa unayem_feel huyo mwanamke naamini mimi ni perfect match wake kabisa, sema tu haelewi, ila ukweli ni kwamba hatojutia kunielewa.Kazi ndogo hiyo, leta barua ya posa nipeleke