Your wish is my command kipenziπ€
Mioyo ya kina Ngosha ndio ilivyo,Wana mioyo safiiπ€£π€£π€£π€£Yaani ndio shida hiyo, moyo wake sijui una ukubwa gani hadi atupange hivyo
Sawa kipenzi hakuna shida, ngoja tuijaze Dunia πππYour wish is my command kipenziπ€
Hata ukitaka watoto 10, me sina neno as long as unanilisha vizuri mwili una afya basi ni wewe tu
Hawanaga baya na mtu, wenyewe wanasambaza tu upendo π€£π€£Mioyo ya kina Ngosha ndio ilivyo,Wana mioyo safiiπ€£π€£π€£π€£
Na maandiko yanatuagiza hivyo, sisi ni akina nani tupinge?Sawa kipenzi hakuna shida, ngoja tuijaze Dunia πππ
Hii comment asiione yule jamaa, anaweza akapasua simu yake π
Kabisaaa,ndio tuvumilie tu na golden heart yaoHawanaga baya na mtu, wenyewe wanasambaza tu upendo π€£π€£
Weee kazi ipo, Ila vitaeleweka tuKabisaaa,ndio tuvumilie tu na golden heart yao
Ntakupeleka tukaishi kisiwani kipenzi changu. Maana nasikia uchawi hauvuki bahariNa maandiko yanatuagiza hivyo, sisi ni akina nani tupinge?
π€£π€£π€£ Si bora apasue simu kuliko akatuloge tuachane, ukiniona uone kama umeona ngedere
π€£π€£π€£π€£π€£Weee kazi ipo, Ila vitaeleweka tu
Wee twende basi hata saiviπ₯°π₯°Ntakupeleka tukaishi kisiwani kipenzi changu. Maana nasikia uchawi hauvuki bahari
harusi lini ili nijue najipangaje....Wee twende basi hata saiviπ₯°π₯°
Ooh kumbe ni usiku sana, basi kesho asubuhi tuhamie huko kipenzi
πAsante msweet ulale salama pia, MUNGU akulinde
xoxo
Mtoto anabebwa hivi hivi unashangilia π π πharusi lini ili nijue najipangaje....
Mkuu sijaona ukimtajaπ
Tutaenda kisiri Siri bila kuaga. Wapambe wasijue πππWee twende basi hata saiviπ₯°π₯°
Ooh kumbe ni usiku sana, basi kesho asubuhi tuhamie huko kipenzi
Tuambie na wewe unamtaka nani mkuihuu uzi umefunguliwa leo na umefikisha comments 800+
Mkuu tena mara hii πMkuu sijaona ukimtaja